Rais Nyerere alikuwa ni muumini wa ugatuzi(devolution/Decentralization)?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Kuna siku moja nilimsikia Mwalimu Nyerere kwenye hotuba akisema.

"Serikali za mitaa ni serikali kamili, serikali kuu haiwezi kuziongezea madaraka wala kuzipunguzia."

Nimeitafuta hiyo hotuba sijaipata. Je Nyerere alipoanzisha serikali za mitaa alipanga ziwe zinajitegemea? Nyerere alikuwa muumini wa ugatuzi?

Kama ni hivyo, imekuwaje leo serikali kuu kupoka madaraka ya serikali za mitaa?
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Kuna siku moja nilimsikia Mwalimu Nyerere kwenye hotuba akisema.

"Serikali za mitaa ni serikali kamili, serikali kuu haiwezi kuziongezea madaraka wala kuzipunguzia."

Nimeitafuta hiyo hotuba sijaipata. Je Nyerere alipoanzisha serikali za mitaa alipanga ziwe zinajitegemea? Nyerere alikuwa muumini wa ugatuzi?

Kama ni hivyo, imekuwaje leo serikali kuu kupoka madaraka ya serikali za mitaa?
Swali zuri. Lakini kwetu hapa uporaji wa madaraka ya serikali za mitaa umefanywa na mtu mmoja ambaye alitumia mamlaka yake vizuri, yaani kupitiliza hata busara. Vyombo hivi vimebaki na kazi ya kuzoa taka na kutoza ushuru..mchango wake kwenye maendeleo ya jamii umefifishwa kabisa.
 
Back
Top Bottom