Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

kuna series nyingi zinazo toka ila hii series inatisha ila ina ujumbe .
0 Reactions
5 Replies
1K Views
𝐁𝐔𝐑𝐈𝐄𝐃 𝐏𝐚𝐮𝐥 𝐂𝐨𝐧𝐫𝐨𝐲 𝐧𝐢 𝐦𝐦𝐚𝐫𝐞𝐤𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐧𝐚𝐲𝐞𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐲𝐚 𝐮𝐝𝐞𝐫𝐞𝐯𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐤𝐚𝐦𝐩𝐮𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐚𝐫𝐞𝐤𝐚𝐧𝐢 (𝐂𝐫𝐞𝐬𝐭𝐨𝐧 𝐑𝐨𝐰𝐥𝐚𝐧𝐝 & 𝐓𝐡𝐨𝐦𝐚𝐬) 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐬𝐤𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐞 𝐡𝐮𝐤𝐨 𝐧𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢 𝐈𝐫𝐚𝐪. 𝐒𝐢𝐤𝐮 𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐚𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐚𝐣𝐮𝐤𝐮𝐦𝐮 𝐲𝐚𝐤𝐞 𝐲𝐚...
14 Reactions
19 Replies
2K Views
SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA KWANZA (01) middotz +255 655 969 973 Ilikua 2012 nilipata kumaliza kidato cha 4. Nilijijua kuwa nitafeli tu kutokana na sababu ambazo ndugu na mama yangu...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ama hakika kwa Wimbo huu na hasa ulivyo Mtamu na unavyochangamsha hata Kuucheza JB Mpiana kaamu kufanya Kweli. Unaambiwa sasa iwe ni Congo DR au Congo Brazaville au Angola au Cameroon au Zambia au...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Wakati wewe ukienda kuhani msiba unaogopa hata kuaga maiti kwa kuitazama au basi ukiaga unaanza kutusumbua wiki nzima kwamba marehemu anakutokea kwenye kona, basi jua kwa hawa mabwana hali ni...
16 Reactions
60 Replies
6K Views
Ilikuwa mwaka 2011 kipindi nafanya kazi hoteli Moja pale Zanzibar Mimi na rafiki yangu aliye itwa rajabu pale hotelini mademu wa kizungu kutoka ulaya ni wengi sana sasa ndugu yangu rajabu si...
20 Reactions
61 Replies
5K Views
Wadau wa music waliokaribu na wasanii hawa washawishini wafanye collabo naamin itakuwa furaha kwangu na kwenu pia Joh makin ft fid q Fid q ft mwana fa Weusi ft tamaduni music Nikki wa pili ft...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Siku hizi kuna tabia imeanzishwa wasanii wanasema wamenunua magari Ila wakitembea nayo hayawekwi plate no wasanii ukiwafuata Maisha Yao watakupoteza.
3 Reactions
12 Replies
810 Views
Najiuliza maana ya upendo nini? Mpaka uwe na kingi ndio ushee? Au pesa kipindi michango ya sherehe? Au mzazi anayetamani mtoto uendelee? Ndio maana anakulea ile umlee Inasadikika kuwa upendo wa...
0 Reactions
18 Replies
724 Views
Mimi naikubali hii Pig Black ft Ay - Mtoto wa mjini
5 Reactions
417 Replies
54K Views
Alikuwa bendi ya Quartier Latin chini ya Koffi Olomide. Wapenzi na mashabiki wa muziki nchini Congo walimbatiza jina kwa kumwita king of Domboro dance Kwa sasa sijui alipo wajuzi mnaweza...
1 Reactions
3 Replies
593 Views
Ndio kwanza nipo Episode ya 5 kati ya 10. Ila hii series kali. Kupewa rate ya 8.7/10 haki yake.
1 Reactions
8 Replies
739 Views
1: Sos B - Kukuru kakara. sijui kwa nini Sos B akuendelea na rap. Mwamba alikoa mmoja ya wasanii wa mwanzoni kabisa kutoa nyimbo za rap Tanzania. 2: Picko - Kikongwe 3: JI -Kidato kimoja 4...
5 Reactions
88 Replies
4K Views
Habari ya mda huu mkuu, uzi huu ni maalumu kwa wote wanaopenda muziki. Kama unapenda kwaya hapa ni mahali pako tupe wanamuziki wa kwaya unaowakubali tukapakue miziki yao tupate zile ala za...
1 Reactions
3 Replies
619 Views
Simulizi hii imeandikwa na Nyemo Chilongani 0718069269 SEHEMU YA 01. “Mume wangu kila siku unarudi usiku tu, mwisho vibaka wakuvamie wakupore hiyo simu yako,” alisema mwanamke mmoja aliyekuwa...
10 Reactions
30 Replies
24K Views
Mwanamuziki wa hip hop Fat Joe ametunukiwa PhD ya heshima na Chuo cha Lehman kilichopo nchini Marekani. Fat Joe ameshukuru sana kwa kupewa heshima hiyo na kusema haikuwa rahisi kufika alipo...
3 Reactions
2 Replies
476 Views
Mimi nataka kuanzisha kipindi cha tv show kwenye TV za Tanzania. Ila sijui mikataba ya vipindi Tanzania Ina kuwa je. Show hiyo itakuwa ni ya kusafiri kila nchi. Ila kwa kuanzia naanza kusafiri...
0 Reactions
8 Replies
530 Views
Ndugu zangu naomba tuchangamshe genge kidogo Kati ya waigizaji hawa wawili Nani unamkubali zaidi 1. Cillian Murphy a.k.a jina maarufu wengi wanamjua kama TOMY SHELBY kwenye peak blinders . 2...
2 Reactions
18 Replies
834 Views
Wakuu nasikia Mwijaku kashaikimbia Clouds Media Group na kashasaini Crown Media. Hivi huko kwa ndugu yetu Ally Kiba kuna nini cha ziada au teseme katenga mishahara minono kwa hawa watangazaji...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom