Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Inadaiwa hizi ndio tabia na sifa za Watu waliozaliwa mwezi July. Je, kuna ukweli kiasi gani?
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za jioni Wadau. Katika mtandao wa YouTube, video nyingi huwa na cover ya picha ambayo inabeba maudhui yaliyomo katika video husika. Lakni kwa hapa kwetu Tanzania, hawa jamaa hawapoi kwa...
10 Reactions
25 Replies
1K Views
Kwa wapenzi wa thriller movies, hii ni moja ya movie ya kuiangalia. Iko simple ila nzuri sana. Kwa lugha nyepesi ipo hivi, kuna jamaa anaitwa Ryan alitoroka London na kwenda Latin America...
3 Reactions
6 Replies
692 Views
Habari wakuu, We can all agree that michezo ya television for now imepoteza taste kabisa si kama zamani. Enzi zile hadi wazazi walikua wakifuatalia michezo hii. 1. Saladini 2. Jumba la...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Nimepata kutazama mahojiano ya Sylvester Stallone na mtandao wa Vulture na kuona akidai kuwa walipokuwa wakirekodi filamu ya Rocky IV, toleo la nne basi alikutana na majanga nusu kupoteza maisha...
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Aisee sichoki kusikiliza huu wimbo. Sauti mzuri kwenye mpangilio murua. Ujumbe Safi kabisa Mdundo sasa.. Aisee kongole kwao!
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama hujawahi kuicheki hii movie itafute weekend hii uburudike. Ni jamaa na kaka zake anaamua kwenda mji fulani kujitafuta. Mji wenyewe umejaa wahalifu watupu.
3 Reactions
4 Replies
314 Views
Iyeee Ive been crying to love Miaka ya juzijuzi Uliomba kura zangu ahadi nazo ulizimimina Elimu bora Afya bora Barabara nzuri Ajira nje nje Hivi leo sioni mabadiliko Hali imekuwa ngumu Nawe...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii ni sehemu ya nyimbo ninazozikubali hadi leo. Ni nyimbo ipi ipo kwenye hii playlist unaikubali, na kama haipo unaweza kuiweka hapa ili wadau tuione pia. MY PLAYLIST SONGS 01...
7 Reactions
76 Replies
28K Views
Hbr nashida na nyimbo za huyu msaanii Romain virgo -soul provider - stay with me na zngine Nmeshindw kuzipakua wiki sasa https://youtu.be/QiWYmjBzx7s
2 Reactions
4 Replies
428 Views
Kuna braza mmoja ni mwanamziki ila yeye anatumia gitaa lake la asili katengeneza Kwa kutumia fimbo, waya na kikopo ila ukisikiliza sound yake ni quality sana. Jamaa huwa anajitolea kuburudisha...
1 Reactions
4 Replies
311 Views
Tuzo za BET zilianzishwa mwaka 2001 na mtandao wa Black Entertainment Television, zikilenga kusherehekea mafanikio ya wasanii weusi na watu wa makundi mengine ya wachache katika muziki, filamu...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kitu Kimoja Ambacho Mashabiki Wa Muziki Mnapaswa Kujua Ni Kwamba Diamond Ni Msanii Mkubwa Afrika Na Anaweza Kufanya Show Nchi Yoyote Ndani Ya Afrika Na Watu Wakajaa, Lakini Inapokuja Kwenye Soko...
2 Reactions
9 Replies
840 Views
Enzi hizo tulikua tunamchukulia Van Damme kama muungwana fulani hivi tukawa tuna wachukia kweli waliokua wanamsumbua 😂..... especially Bolo Yang na Chi Tompo Sema jamaa alikua hatoi msaada wa...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Mdau, ni wimbo gani wa Bongo Fleva ulihit sana miaka ya 2000-2010?
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwangu mimi hizi ndo series bora kuwahi kuangalia 1.VIKINGS 2.GAME OF THRONE 3.SEE 4.SIX FLYING DRAGONS 5.FROM 6.INTO THE BADLANDS 7.PEAKY BLINDERS 8.HALO 9.SQUID GAME 10.IRIS 11.ILJIMAE Kama...
2 Reactions
65 Replies
6K Views
Uko tayari kutoa kile tunachohitaji kukupa unachokitaka?
0 Reactions
4 Replies
323 Views
PICHA DIRECTOR NICK NA MAKAMU II WA RAIS WA ZANZIBAR. Mwanahabari na muongozaji wa video Nickson Sawe maarufu kama Director Nick akiwa huko visiwani Zanzibar amekutana na kupiga picha ya pamoja...
1 Reactions
1 Replies
324 Views
Sauti kama ya ben pol hivi. Ni wimbo wa mapenzi nakumbuka kiitikio Beby so faaa beby so sofaa
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za Jumapili wadau, naomba mwenye wimbo jina lake unaitwa NITUME MIMI BWANA kuna mapadre sijui ndo wameimba, ila ni wanaume pekee ndo wameuimba, Mwenye nae auweke tu hapa niuchukue maana...
1 Reactions
0 Replies
252 Views
Back
Top Bottom