Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari za Jumapili wadau, naomba mwenye wimbo jina lake unaitwa NITUME MIMI BWANA kuna mapadre sijui ndo wameimba, ila ni wanaume pekee ndo wameuimba, Mwenye nae auweke tu hapa niuchukue maana...
1 Reactions
0 Replies
252 Views
Oppenheimer ni movie yenye story Nzuri sana ila wengi wanaiona complicated, au niseme boring, kwa wale ambao hawana uelewa sana na mambo ya physics. Hapa nimejaribu kuielezea kwa nilivyoielewa...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake huu mwaka mtaniita boss Rayvanny Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake mtaniita boss Huu mwaka ee wa faida sio loss...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ilikuwa Jumamosi asubuhi na jua lilikuwa linawaka vizuri. Majirani wa mtaa wa Mjini Ndani walikuwa wanapanga mipango ya weekend yao. Lakini kijana mmoja, anayeitwa Toto, alikuwa na plan ya kipekee...
0 Reactions
2 Replies
506 Views
Filamu nyingi zimetukaririsha kuwa staa akiwa kwenye changamoto basi mwisho wa picha atafanikiwa kukabiliana na changomoto zake wanaita mwisho mzuri(happy ending). Kwenye filamu ya BURIED sahau...
5 Reactions
6 Replies
669 Views
Ni suala lililo wazi kuwa msanii Diamond Platnumz ndiye msanii anayeiwakilisha muziki wa Bongo Fleva kimataifa ambapo kupitia nyimbo zake Diamond ameweza kupenya na kujulikana katika mataifa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke...
28 Reactions
117 Replies
6K Views
nani amewahi kuona hii series ya superior day ya kikorea inatisha na ni nzuri ya kijana muuaji mchoraji anaua mtu alafu anamchora kwa kutumia damu jinsi alivyomkatakata movie nzuri japo inaogofya...
1 Reactions
3 Replies
322 Views
I Karatasi ya thamani ni pesa vyeti ni uchafu chochote utakacho pesa kwanza Silali kitandani nakesha kuziseti chafu tatu popote niendapo pesa kwanza “Babu hilo goma linanitia stimu yaani siku...
0 Reactions
1 Replies
454 Views
Msanii wa Bongo Fleva, Sarah Michael Kitinga "Phina" aliimba ujumbe huu kupitia Wimbo wa "Sisi Ni Wale" aliouweka kwenye Chaneli yake ya YouTube, Desemba 29, 2023 na hadi Novemba 28, 2024...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mfahamu Mzee Small. Said Wangamba (Mzee Small) alizaliwa 1955 mkoani Lindi. Na baadae alihamia Dar mwaka 1970 ambapo alipata umaarufu kupitia uchekeshaji na uigizaji. Alipewa jina la utani la...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba nikukaribishe kutazama wimbo kutoka kwaya ya Parapanda Lutheran uitwao Upendo wa Mungu. Yesu akutunze.
1 Reactions
0 Replies
254 Views
Tazama Video | Download Audio Music: Ev.Mhugo Hantish – Yesu Wewe http://gospomedia.com/tazama-video-download-audio-music-ev-mhugo-hantish-yesu-wewe/
0 Reactions
4 Replies
875 Views
1. Millard Ayo - Clouds FM 2. Jamal April - Wasafi TV 3. Nelson Kisanga - Wasafi FM 4. Tido Mhando - Azam TV 5. Reuben Ndege - Clouds Media 6. Maulid Kitenge - Wasafi FM Utafiti huu umeangalia...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Ni miaka 7 Sasa tangu atangulie mbele za haki mama huyu wa kizungu anaitwa, Charlotte Nelson William. Charlotte Nelson William, enzi za uhai wake katika jumuiya ya Freemason nchini uingereza...
17 Reactions
115 Replies
19K Views
1&2 Utangulizi 3. Wahusika 4. Mfalme Rai
1 Reactions
3 Replies
539 Views
Salamu Wajumbe. Kuna muvi ya Kiswahili niliwahi kuitazama miaka ya 2009/10 ya vijana wawili, mmoja wa kike mmoja wa kiume ambao walikuwa wanaishi msituni na wazazi wao ambao walifukuzwa kwa...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Habari Wadau, Ni nadra sana kwa mtu kuwa bilionea, hasa akiwa na umri mdogo. Hii ni orodha ya mabilionea vijana ambao wametajwa na Jarida la Forbes kwa mwaka 2024, kuwa matajiri wadogo zaidi...
2 Reactions
10 Replies
611 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: MARIO 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: MADILU & FRANCO 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: SULE MKANDARASI 𝙈𝙖𝙧𝙞𝙤 𝙣𝙞 𝙟𝙞𝙣𝙖 𝙡𝙖 𝙠𝙞𝙟𝙖𝙣𝙖 𝙖𝙣𝙖𝙮𝙚𝙥𝙚𝙣𝙙𝙖 𝙠𝙪𝙡𝙚𝙡𝙚𝙬𝙖 /𝙠𝙪𝙞𝙣𝙜𝙞𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙢𝙖𝙝𝙪𝙨𝙞𝙖𝙣𝙤 𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙬𝙖𝙠𝙚 𝙬𝙖𝙡𝙞𝙤𝙢𝙯𝙞𝙙𝙞 𝙪𝙢𝙧𝙞. 𝙆𝙬𝙖 𝙣𝙮𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞 𝙝𝙞𝙯𝙞 𝙠𝙬𝙖 𝙝𝙖𝙥𝙖...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom