Nimesikitishwa sana na kitendo cha huyu msanii chipukizi anayefanya vizuri kwa sasa komredi Ali Kiba kutojua maana ya jina FALLEN ANGEL na linavyotumika. Hakuna namba yoyote unaweza kumwita binti...
Ferdinand Shayo, Manyara.
Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi yenye makao makuu yake Mjini Babati Mkoani Manyara ya Mati Super Brands Limited imesaini mkataba wa makubaliano ya kufanya kazi...
Habari za leo wakuu,
Yes, kwa wale wadau na wapenzi wa burudani nimeleta jambo hili mbele yenu muweze kunishika mkono au kunionesha njia, nashukuru Mungu nimezaliwa na vipaji mbalimbali lakini...
Husika na kichwa cha barua hapo juu..
Sorry ni kichwa cha habari hapo juu...
Natafuta movies hiyo pendwa inayoitwa grey's anatomy kuanzi series ya 3 mpaka 20 kwa ambaye atanifanyia mpango...
Nimetafuta kwa youtube shida zinakuja nyingi.
Nimejalibu kuuimba hapo mnaweza nisaidia kupitia hiyo sauti hapo chini.
Wimbo
Bwana ndie mchungaji wangu mimi
Sitapungukiwa na kitu katika maisha...
Hii kama umeshasikiliza hii nyimbo vizuri, ni kama jamaa kaiba kwenye nyimbo zetu za zamani sana.
Sasa kila nikijaribu kuzivutia kumbukumbu hapa nashindwa kukumbuka zilikuwa ni nyimbo za nani na...
Najua Jamiiforums hakishindikani kitu.
Kuna wimbo mmoja alikuwa anaupenda sana kuusikiliza mpangaji wetu marehemu mmoja hivi mlevi mlevi.
Ni wimbo wa Kikongo jamaa analalamika sana nakusema neno...
Kuna mtu yoyote anaweza kujua Mondi logic yake ni ipi kusema zombi siku hizi hizi beat hazipigwagi.. Ni beat gani Hizo maana kama ni amapiano ndo Kwa sasa kipenzi cha ma teenage na Wao wanafanya...
Kwa wale waliokuwa wapenzi wa kusikiliza vipindi mbalimbali vya radio bongo.
Watakubaliana nami kuwa beats za hizi ngoma za hip hop mbili
- Tatu bila ya Tmk wanaume halisi
na
- Still ya dr dre...
Kwa watazama series kama mimi kwenye series nyingi ulizotazama kuna Character ambae ni bora zaidi na alikufurahisha zaidi
Binafsi Styles Stilinky wa kwenye TeenWolf hana mpinzani
Niambie wako...
Binadamu by AY featuring Maurice Kirya
This is A.Y from Tanzania, Maurice Kirya and Hamdee from Uganda.
It’s a dedication to all African who living in poverty.
Verse 1
Usiombee mambo...
Mchizi makuu anayo,
Ana mziki mtamu sana mshkaji. Mm nasemaga Chris brown, Jason derulo na fally ipupa wataingia peonies asee.. Leo naongeza Battan naye atakuwepo.
Hiyo hapo 🤭
SEHEMU YA KWANZA:
Nyarugusu- Kigoma, Tanzania
Hofu ilikua imetanda miongoni mwetu, kina mama walikumbatia watoto wao, zaidi ya vilio vya watoto hakuna sauti nyingine iliyosikika, hata ndege pia...
Sehemu ya 1
JINA lake kamili aliiitwa Meddie Manyara. Hii ilikuwa ni mara yake ya kwanza kukanyaga katika majengo ya Shule ya Sekondari ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Meddie alikuwa amehamia...
SURA YA 1
KWA mara nne mfululizo katika wiki ile, Luteni Maige alijiwa na ndoto ile ile usingizini. Aliamka kwa mshtuko, jasho likimtoka huku akihema kwa kasi.
Safari hii, hata alipofumbua macho...
1.DO YOU REMEMBER-PHIL COLLINS
2.SOME BROKEN HEART-DON WILLIAMS
3.PLEASE FORGIVE ME-BRYAN ADAMS
4.FOREVER IN LOVE-KENNY ROGERS
5.ABBA-CHIQUITITA
6.SACRIFICE-ELTON JOHN
7.JUDY BOUCHER-CANT BE WITH...
Wakuu, amani ipitayo fahamu zote iwe nanyi. Ni muda kitambo umepita pasipo kupeleka mada jukwaani kwa sababu sikupata muda wa kutosha kuandaa makala ndefu yenye hoja fikirishi. Leo naleta kwenu...
By Joh Makini ft Ben Pol
I love what I am doing. A city in da houz
Yeah… Aaah!
Some other people miss the old me
Some other people love the new me
I thank God all these people
They don’t know me...