Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kundi la waruka sarakasi kutoka Tanzania liitwalo 'Hakuna Matata Acrobats' wanaendelea kufuata nyayo za 'Ramadhan Brothers', hii ni baada ya kutua kwa kishindo katika hatua inayofuata kwa kupewa...
1 Reactions
0 Replies
282 Views
Jamani moshi huo moshi huo! Nikiona moyoo unadunda tena 🎶 Alimaanisha nini huyu Mmakonde Harmonize? 😂
1 Reactions
2 Replies
816 Views
Hili jambo nimekuwa nikijiuliza muda mrefu. Ila kabla ya kwenda mbele, tupate maana ya 'Mfalme wa Muziki' fulani. Tuanze na mifano hii, ili kuweka mambo kwenye muktadha. James Brown ni Mfalme wa...
1 Reactions
3 Replies
553 Views
Hiili Jimbo huaga Kali Sana Wana wamelikubali Wameona watoe remix
2 Reactions
3 Replies
609 Views
Mimi siendagi kwasababu wasanii wengi hawajui kuperform live, wanachojua wao ni kusema "piga kelele" huku wakikata mauno na kukimbia kimbia. Wewe je?
5 Reactions
21 Replies
937 Views
SUPPORT YA MSANII SOGGY DOGGY ANTER KWA WASANII WA MUZIKI WA BONGO FLEVA MKOANI MWANZA.. ____________________ ✍🏾 Bila shaka jina la Msanii Anselm Tryphone Ngaiza a.k.a soggy doggy anter sio...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
THE BOYS drama ya kimarekani inayohusisha masuperheros au (Mashujaa kwa waswahili). Drama hii inaelezea Superheroes wenye ushawishi kwa umma waliyejiwekeza katika (siasa) wanasiasa, na wakati...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
NARINGA- ZUCHU Mh-mmh Nani Roney? Ah, Roney (he-hey, yoh Tron) Sing, mmh, eeh Let sing, come on, eeh Sioni aibu Kwa kila linalo nifika Maana kukosea ni wajibu Mola ameshaandika Na sianguki, mimi...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Kuna mnigeria mmoja kwenye mtandaoni anaposti kuzikejeli movie za kihindi wenyewe badala ya kukubali makosa wanamshsmbulia na kutukana Waafrika. Angalia kama hii hapa chini full utoto, sound na...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Na mwandishi wetu Sehemu ya 01, NYUMBA YA MAJINI “KAMA kuna watu hawayajui haya nitakayoyaongea basi nawataka kuanzia sasa wajue kwamba, hapa Dar kuna mambo makubwa sana ambayo ukisimuliwa...
6 Reactions
44 Replies
10K Views
Habari wakuu. Ni swali tu nimejiuliza hili. Kuna kazi nyingi sana za waandishi ambazo zipo tu hata huku JF, tunazisoma bila ya wao kufaidika chochote. Natafuta lengo la kufanya hivo lakini kila...
0 Reactions
3 Replies
409 Views
#KOMASAVA ON THE USA BILLBOARDS CHARTS 🇺🇸🤝 #komasava Unakuwa Wimbo Wa Kwanza Kutoka Tanzania Kuingia Kwenye Charts Za Billboards Marekani (Billboards U.s Afrobeats Songs Top 50) Na Kushika Nafasi...
15 Reactions
25 Replies
3K Views
Salaam wakuu, Uzi huu maalumu kwa sisi wapenda bata hata kama vyuma vimekaza, tunapambana na hali zetu na bata kama kawaida. Sitaanza kwa kutaja kiwanja chochote kwa sasa, isionekane nafanya...
4 Reactions
447 Replies
75K Views
Nimetokea kuuchukia sana huu wimbo😡😡 Huu wimbo umehusika kuchochea maovu na huenda utazidi kuleta maovu mengine mazito. Pia soma: Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
SIJIWEZI Lyrics By Poor Brain Featuring Ms R VERSE 1 Poor Brain 🧠 Koh koh koh Bomboclat Oooh baby nataka nikwambie vile moyo wangu what i feel, Are you ready uisikie nafsi yangu upande wa...
19 Reactions
411 Replies
5K Views
Yondo Kusala Denise (amezaliwa tar. 1 Januari 1958) ambaye anajulikana zaidi kwa jina la kisanii kama Yondo Sister, ni msanii wa Kikongo. Wengi humwita "Malkia wa Soukous", "Tina Turner" wa muziki...
31 Reactions
67 Replies
6K Views
Wapendwa habari zenu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, naombeni mtiririshe series kali zinazohusu uchawi, vampires, warewolfs and all supernaturals. Zangu mimi naanza na; 1. Vampire...
7 Reactions
100 Replies
8K Views
Hii ngoma ni kali sana na nmeisikiliza bila kujua tafsiri yake kwa muda mrefu sasa, Naona tu kina Boure mpela, Soleil wanga, fally ipupa, Bebe kero, Brigate sarbati, na Fally ipupa wakilalamika...
1 Reactions
9 Replies
855 Views
Tunaweza sote kuitafuta hii filamu. Kupitia video clip niliyoona imenivutia kutaka kujua kiundani zaidi. Hapa mchina akitoa somo fupi kwa huyu mkongo na kwa kiasi kikubwa somo hili ni picha yetu...
5 Reactions
15 Replies
933 Views
YAI Kwa kuwa alikwa mwanae,Chuwa hakumwita mwizi bali,alimwita mdokozi. Chuwa akasahau ya kuwa, kile kinachofanywa na mwanae hakina tofauti na kilichofanywa na kina fulani ila kwa kuwa mwanae...
0 Reactions
0 Replies
576 Views
Back
Top Bottom