Habari wanajamii, natafuta Cassette tape au Kanda za kwaya za zamani kama:
1. Tumaini Shangilieni kwaya - Arusha
2. Barabara ya 13 - Uliyankulu
3. Mtoni Evangelical choir - Lulu
4. Kwaya ya...
MTEULE
UTANGULIZI
Mfalme Efroni alikuwa mtawala wa nchi ya Nahori. Mfalme huyu alimuoa binti wa mfugaji aliyeitwa Raheli na kujaaliwa kupata watoto kumi na wawili. Wote wa kike. Aliipenda sana...
RIWAYA; KAMANDA WA ZAMU.
NA; BAHATI K MWAMBA.
WHATSAPP; 0658564341.
1.
Alikuwa akitetemeka mwili na roho, jasho lilimmwagika hadi kwenye ncha za vidole vyake vya miguu na...
Katika kumbukumbu za siku ya kiswahili, sijawahi kusikia wakitajwa wasanii wa Muziki wa Dansi katika kukuza lugha ya kiswahili hasa wakati ule ambapo jamii nyingi zilikuwa Bado hazijafunguka na...
Wakuu habar za jion
Kwa wale wapenzi series Kuna series inaitwa silo, hii series mm nimefanikiwa kuiona season 1. Hii series ni nzuri sana, Sasa nataka kufahamu Kama season ya 2 imetoka au la.
Nimesikitishwa sana na kitendo cha huyu msanii chipukizi anayefanya vizuri kwa sasa komredi Ali Kiba kutojua maana ya jina FALLEN ANGEL na linavyotumika. Hakuna namba yoyote unaweza kumwita binti...
Ferdinand Shayo, Manyara.
Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi yenye makao makuu yake Mjini Babati Mkoani Manyara ya Mati Super Brands Limited imesaini mkataba wa makubaliano ya kufanya kazi...
Habari za leo wakuu,
Yes, kwa wale wadau na wapenzi wa burudani nimeleta jambo hili mbele yenu muweze kunishika mkono au kunionesha njia, nashukuru Mungu nimezaliwa na vipaji mbalimbali lakini...
Husika na kichwa cha barua hapo juu..
Sorry ni kichwa cha habari hapo juu...
Natafuta movies hiyo pendwa inayoitwa grey's anatomy kuanzi series ya 3 mpaka 20 kwa ambaye atanifanyia mpango...
Nimetafuta kwa youtube shida zinakuja nyingi.
Nimejalibu kuuimba hapo mnaweza nisaidia kupitia hiyo sauti hapo chini.
Wimbo
Bwana ndie mchungaji wangu mimi
Sitapungukiwa na kitu katika maisha...
Hii kama umeshasikiliza hii nyimbo vizuri, ni kama jamaa kaiba kwenye nyimbo zetu za zamani sana.
Sasa kila nikijaribu kuzivutia kumbukumbu hapa nashindwa kukumbuka zilikuwa ni nyimbo za nani na...
Najua Jamiiforums hakishindikani kitu.
Kuna wimbo mmoja alikuwa anaupenda sana kuusikiliza mpangaji wetu marehemu mmoja hivi mlevi mlevi.
Ni wimbo wa Kikongo jamaa analalamika sana nakusema neno...
Kuna mtu yoyote anaweza kujua Mondi logic yake ni ipi kusema zombi siku hizi hizi beat hazipigwagi.. Ni beat gani Hizo maana kama ni amapiano ndo Kwa sasa kipenzi cha ma teenage na Wao wanafanya...
Kwa wale waliokuwa wapenzi wa kusikiliza vipindi mbalimbali vya radio bongo.
Watakubaliana nami kuwa beats za hizi ngoma za hip hop mbili
- Tatu bila ya Tmk wanaume halisi
na
- Still ya dr dre...
Kwa watazama series kama mimi kwenye series nyingi ulizotazama kuna Character ambae ni bora zaidi na alikufurahisha zaidi
Binafsi Styles Stilinky wa kwenye TeenWolf hana mpinzani
Niambie wako...
Binadamu by AY featuring Maurice Kirya
This is A.Y from Tanzania, Maurice Kirya and Hamdee from Uganda.
It’s a dedication to all African who living in poverty.
Verse 1
Usiombee mambo...
Mchizi makuu anayo,
Ana mziki mtamu sana mshkaji. Mm nasemaga Chris brown, Jason derulo na fally ipupa wataingia peonies asee.. Leo naongeza Battan naye atakuwepo.
Hiyo hapo 🤭
SEHEMU YA KWANZA:
Nyarugusu- Kigoma, Tanzania
Hofu ilikua imetanda miongoni mwetu, kina mama walikumbatia watoto wao, zaidi ya vilio vya watoto hakuna sauti nyingine iliyosikika, hata ndege pia...
Sehemu ya 1
JINA lake kamili aliiitwa Meddie Manyara. Hii ilikuwa ni mara yake ya kwanza kukanyaga katika majengo ya Shule ya Sekondari ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Meddie alikuwa amehamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.