Sasa hivi africa nzima wanamuziki wa nigeria
wanatamba.....
Sasa mimi huwa najiuliza hivi kwa nini hawatambi dunia nzima?????
I mean sijawahi sikia labda p square ft snoop hivi
au j martin ft...
kwanza niwapongeze wasanii wetu wa filamu kwa juhudi zao za kuendelea tasnia ya filamu katika bongo yetu.wanajitahidi kwa kweli. lakini kuna kitu kinachoniboa katika muvi zetu hizi, na ni ishu...
Nani aliesema shakira ndo bingwa wa kusakata mauno in ze weldi?? tazama vitu anavyofanya dogo huyu, Ray C kafunikwa kabisaa hivi akikua itakuaje?? shakira cha mtoto hahahahahahhah
hivi movie za bongo waga wanaandika script kweli?angalia hii hapa hata dk ya tano haijaisha tayari ujinga umeonekana...sikiliza kwanza utambulisho tu...miaka 25 na mwingine 24 hivi kweli ndo...
Miracle escape at Brands Hatch
Mon Jul 19 11:30AM
Drivers and marshalls alike made a miraculous escape at Brands Hatch after a racing car flew out of control and flipped over crash barriers...
With just a few hours to go before the launch of Big Brother Africa: The Revolution, speculation is widespread about where the new housemates could be flying in from.
Fans live you from all over...
Ile show ya mwanamuziki mahiri wa Burundi, "Kidumu", imekuwa sabotaged.
Nawasiliana na waandaaji wa show hiyo leo baadaye ili niupate mkanda wote, kisha nitapost hapa kesho, muone jinsi "The Don"...
The Things Nigerias FM Radio DJs Do Uche Nworah (uchenwo...@yahoo.com) Anybody who grew up around the 80s and 90s in the eastern and southern parts of Nigeria will recall with nostalgia the...
Baada ya wasanii wa bongo flava kumsifia sana JK na CCM yake kwenye kikao kilichomalizika juzi mkuu wa kaya ameamua kuwaita na kupata nao chakula cha mchana leo!!
Itakumbukwa baadhi ya wasanii...
Mel Gibson has reportedly filed a restraining order against his ex-girlfriend Oksana Grigorieva, with whom he has a daughter.
LOS ANGELES (AP) -- Mel Gibson is heard using a racial epithet and...
Nimekaa mbele ya tv yangu nikitazama chanel ya fashion tv kupitia king'amuzi nikisubiri mechi ya udachi na hispania kuanza. Wanapita vijana wa kiume walio na miili ya kiume hasa katika mavazi...
kwa yeyote atakayeweza kunipatia lyrics za wimbo 'I Will Survive' by Gloria Gaynor but in spanish version 'Yo Vivere' by Dino Fekaris ningefurahi sana......:kiss:
wadau nimekuwa nasikia kuwa clouds Fm ya Tanzania inapatokana
live mtandaoni. Nimejaribu ku search mpaka basi lakini sikufanikiwa
kuna mtu aliniambia inapatikana kupitia bongo5 lakini kula nako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.