yeah jeiefu mwaka jana ilikuwa na changamoto na hamasa kubwa... hii inaonyesha ni jinsi gani watu walivyokuwa na kiu ya mabadiliko na papo hapo inaonyesha jinsi gani watu wanavyokuwa na shauku ya kutaka kujifunza na kujua mengi... inaonekana watanzania ss wanaazna kubadilika kwani sio destru yetu kuchambua mambo kwa kina na kujenga hoja lakini the last years shows its only a matter of times before this revolution taking over for gud...... keep it up guys... URBI ET ORBI ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.