Kuna kibao cha muziki cha Mrisho Mpoto kinaitwa Adela, kila nikisikiapo huwa sikielewi. hivi ana maana gani huyu jamaa maana mi nashindwa kumuelewa.
Kwa mfano anasema nyoshakidole Adela..Nisaidieni!!!
Umati ni mkubwa uliohudhuria shughuli za kumpa heshima za mwisho mwanamuziki maarufu hapa nchini Hayati Ramadhani Mtoro maarufu kama Dakta Remmy.
Ni majonzi, vilio na simanzi vilitawala...
Nimekaa kwenye Luninga kwa takribani saa nzima nikiangalia kipindi cha nyimbo bora 2010 kinachorushwa na Star TV, cha ajabu nyimbo zote ninazoziona zinazungumzia mapenzi tu mwanzo mwisho, ina...
Marehemu Abou Semhando 'Baba Diana' enzi za uhai wake. Hapo ilikuwa katika show ya Old Skul viwanja vya Karimjee ambapo wakongwe wa muziki walikusanyika kutumbuiza...
Wakati nikisikiliza taarifa ya habari ITV Chidumule akiwa msibani kwa Dr. Remi Ongala alipewa nafasi ya kuongea chochote. Alisema kuwa marehemu alikuwa mwanamuziki mahili lakini alikuwa hatembei...
Nadhani Miaka hii bado nilikuwa natumia visoda kufanya hesabu za kujumlisha na kutoa
Malaikaaaaaaa Nakupendeeeeeeee Malaikaaa
I shall sing sing my song lallalaaaaaa...
Christmas is both a sacred religious holiday and a worldwide cultural and commercial phenomenon. For two millennia, people around the world have been observing it with traditions and practices...
Nilipokea kwa masikitiko sana kifo cha kipenz cha wengi Dr Remmy Ongala. Kuna ki2 bado sijakijua vzr kuhusu wasifu wake hv! alikuwa na u Dr wa nn? au lilikuwa jana 2? Mwenye kujua vzr wasifu wake...
Kwa wapenzi wa wa tasnia ya vichekesho, kuna komedi ya TBC na ile ambayo imeanza pale EATV, kwa mtazamo wangu akina Joti wa TBC wameshaanz kupwaya ukilinganisha na hawa jamaa ambao wamekuja kwa...
Shindano la kumsaka superstar wa bongo wa muziki linafikia tamati leo huku kukiwa na uwezekano wa mzungu joseph pyne ambaye zaidi amekua akitamba na wimbo wa "malumbano/ msongamano" kuibuka...
Kwa habari nilizozipata sasa hivi mwanamziki mahili wa mziki wa Tanzania Dr. Remmy Ongara amefariki dunia, tulitoka kwa udongo tutarudi kwa udongo.
RIP Remmy tutakukumbuka milele kupitia nyimbo...
Wasanii wetu( Music, Video) bado wanakazania kuuza CD. Muelekeo unaonyesha mauzi ya ya CD yanazidi kupungua sababuya furana teknolojia mbali mbali zinazoibuka kama
Internet na Online...
WASHIRIKI wa BSS juzi wafunika katika shindano hilo sambamba na mastaa wa muziki wa kizazi kipya baada ya kuimba pamoja.
Katika shoo hiyo washiriki nane waliokuwa wakichuana vikali ili kupata...
Mimi ni miongoni mwa wasikilizaji na wafuatiliaji wa Mlimani pamoja na vikundi vingine vya muziki nchini,kwa bahati mbaya bado sijakisikia kibao cha Mlimani(TENDE HALUA HALUA) kilichopigwa 'full...
RICHIE SPICE
The Old Testament's Book of Job considered the Bible's most profound and scholarly work, addresses the significance of unwavering faith as it relates the tribulations endured by a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.