Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,928
- 5,615
Habari kwa ufupi radio TBC FM saa 10:00 alfajili leo: Crew member (sio mwigizaji) wa kundi la vichekesho la orijino komedi ya TBC1 amefariki dunia kwa ajali ya pikipiki iliyotokea maeneo ya Kimara baada ya kugongwa na basi la Hood. Jina Mohamedi Muya!!? (am not so sure kuhusiana na jina)