Julieth Ms
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 102
- 37
Akitumbuiza mjini Iringa ukumbi wa Highland
Hapa akiwa amekosa raha kabisa baada ya wahuni wa Iringa kumuibia viatu na kumwachia sox.
Hivi viatu alivyo azimwa kwa muda ajisitiri.
Muimba taarabu mashuhuri nchini Tanzania na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuph aibiwa viatu vyake wakati akiwa katika mahojiano na kituo kimoja cha Radio mkoani Iringa kabla ya kuingia ukumbini kutoa burudani kwa wakazi wa Manispaa ya Iringa.
Source: Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima