Wadau kwa muda sasa kumekuwa kunaendeshwa kampeni kali ya kusaka michango kwaajili ya kukusanya fedha za kugharamikia matibabu nchini India ya Msanii wa filamu nchi SAJUKI ambaye kiukweli anaumwa...
12:24 PM ET
Usher tears up in court over custody battle
Usher's battle for visitation rights with his two sons has struck a nerve.Click here: Usher tears up in court over custody battle –...
"Why do so many people connect with Marley? The answer is fairly simple: Marley was an everyman, a gentle soul and a revolutionary. Many have identified with his humble upbringing in the tiny...
Imeshakuwa kawaida, kama kawaida yetu watz, Saiv ukisikiliza redio, ukisoma magazeti na karibia media zote zinapokuwa zina ripoti mambo ya burudani na hasa muziki, utasikia neno muziki wa "bongo...
Jamani wadau wa movies, naombeni mwenye kujua namna nitapata collections za movies zinazotoka china, kama vile za Alibaba nk. anijulishe manake nataka kama peaces elfu moja kwa ajili ya kuanza...
US singer Donna Summer, famous for disco classics including I Feel Love and Love To Love You Baby, has died at the age of 63. Summer was one of disco's biggest stars and also had a huge influence...
Habari ,
Habari njema kwa wasanii wa kitanzania na wa kiafrica, kutana na official facebook page ambayo itakuwa ni ya miziki ya kiafrica mipya na ya zamani katika page ya MAMBO MUSIK ambayo...
http://youtu.be/C2q2bis6eLE
Habari za hivi karibuni zinasema kuwa mwanamuziki maarufu wa nyimbo za disco, Donna Summers amefariki dunia kwa ugonjwa wa cancer. Kwa wale tuliokuwa tunakwenda disco...
Facebook Co-Founder Saverin Gives Up U.S. Citizenship Before IPO
By Danielle Kucera, Sanat Vallikappen and Christine Harper | Bloomberg – 2 hours 53 minutes ago
Eduardo Saverin, the...
Helloooo! Leo ni Bob Marley day, haya Rastafarians, tukumbushane majina mbalimbali ya mmea unaotuunganisha na kutupa stim. Pamoja na Historia ya Mwana Bob. Tunamkumbuka Bob walipi? Naanza, ganja...
Matanzania Masanii Gabriel sos limbe Atashinda zawadi kubwa kutegemeana na uzalendo wenu!! ona kwenye Gabriel Limbe collection yenu au
maoni maoni yenu yatamsaidia kufika mbali katika...
Enzi zile nasoma shule ya msingi kulikuwa na vijana waliokuwa wakija shule kwa ajili ya mazingombwe. Walikuwa wakifika shuleni mara kwa mara kwa ajili ya maonyesho hayo.
Walikuwa wakipewa kibali...
Kulalamika si kujenga.
Hapa tutatizama video za wasanii wa Tanzania (hasa Bongo Fleva), ubora, upungufu na vyote ambavyo vinaweza kuonekana na ikiwezekana kushauri cha kufanya ili kuboresha tasnia...
Wadau hiki kipindi cha "Who wants to be a millionaire on BBC Entertainment" on DSTV nakikubali sana,na ninaamini kwa wale wenye access na DSTV watakipenda pia,nimeamua kushea nanyi wadau,maana kwa...