imependeza kweli, baada ya Palau kuhitimisha ndipo Moen alipanda jukwaani akaimba "i will sing, my creator king, God is good na God will make a way" kisha akaja mwanadada Mullen Nicole na "call on Jesus, My redeemer lives, freedom na i shall not want" kweli ilikuwa ni sherehe na tumeburudika ktk Bwana. Ila nasikitika kutokuwa na kamera ya kuchukua picha.
Watu walikuwa wengi jangwani parking nzuri yaani ni bomba kwa wanaopenda english gospel songs mtu akienda will never be dissapointed baada ya mhubiri palau kuhubiri akaimba don moen na akafatia nicole mullen perfomance ya nguvu yaani wanaimba nyimbo nyingi nzuri its real a festival maana baadhi ya nyimbo zao anaimba mwanzo kwa kiswahili hamna anayekaa mwanzoni kuna kids play na waimbaji tofautina kesho ndio mwisho I hope sitamiss kesho nitaenda,jukwaa zuri kwa live performance its fantastic!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.