Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Sababu ziko tofauti.. Mimi 1. Far cry 6 Hili rasmi nmelifuta leo, sikulimaliza bt sikulipenda nahisi game play yake halivutii kabisa. Gb 100 2. Dying light 2; stay human graphics nzuri ni third...
5 Reactions
64 Replies
2K Views
Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema https://youtu.be/nJd2S1yiYpU?si=mir2izshdjgKhTnE
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Binafsi hadi kufikia sasa, naweza kusema Movies mbili kali (Top 2) kuwahi kuona mpaka sasa ni: • No Escape, movie inayoonesha ukatili uliokuwa ukifanywa na Waarabu dhidi ya Wazungu. Wazungu wengi...
10 Reactions
85 Replies
10K Views
Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI. Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs) 1.Mungu ni Pendo 2.Usinipite Mwokozi...
51 Reactions
153 Replies
14K Views
Riwaya: NIRUDISHIENI MWILI WANGU Mwandishi: GILBERT EVARIST MUSHI Phone: +255765824715 UTANGULIZI Nilikuwa nikijitahidi kuchochea pedali katika baiskeli yangu ili baiskeli ikimbie zaidi ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi nimekuwa mpenzi na muumini mkubwa wa nyimbo za trance na electronic karibuni tushee vitu mbali mbali juu ya mziki huu mzuri
1 Reactions
12 Replies
597 Views
Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia? Seriously!!! A guy who talks about shooting other people and utter a lot of...
6 Reactions
164 Replies
9K Views
Simulizi : SALAMU KUTOKA KUZIMU Mwandishi : BEN R. MTOBWA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 KIFO kaja duniani kwa kazi moja tu. Akikukuta umekwisha... Akikusalimia umekwisha... Hana...
6 Reactions
208 Replies
40K Views
Wanadai Bongo fleva inapeleka mambo machafu Zanzibar. Moja ya wageni walioudhuria Jukwaa la 13 la Biashara Zanzibar ameshauri Serikali ya Zanzibar kuzuia kupigwa kwa baadhi ya Nyimbo za bongo...
4 Reactions
51 Replies
2K Views
Toka enzi za kale muziki ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo kwa wingi wa nyimbo zilizokuwepo duniani ilibidi kusiwe na melody tena but fun facts nyimbo zinaendelea kutoka zenye melody kali aina...
3 Reactions
7 Replies
466 Views
Hadithi hii nikiikumbuka natokwa na machozi, hadithi ya kweli ilitokea huko mkoani Tanga. Wakati nikiwa mdogo mwanzoni mwa miaka ya tisini, nilikuwa nikiishi kwa wazazi wangu waliokuwa...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Naona baada ya mafanikio makubwa ya Season 1, wanarudi tena. Dec 26 ndio episode 1 itaanza na kutakua na jumla ya episode 10. BTW ni miaka mitatu tokea Season 1 itoke. Tunazeeka aisee.
2 Reactions
6 Replies
568 Views
Romeo must die na paris has fallen season 2.
5 Reactions
19 Replies
862 Views
Jamboo! Wakuu kama kichwa cha mada kinavyo jieleza hapo juu naomba hiyo ikitokea mniambie nitakuwa hapa panapo majaliwa. Binafsi ni mpenzi wa kutizama na kufuatilia filamu na tamthilia mbali...
14 Reactions
46 Replies
3K Views
JINI WA DARAJA LA SALENDA.......EP.1 Majira ya saa nane za usiku msichana Suzana alikuwa akitoka kujirusha katika ukumbi wa Bilicanas. Kilichomshtua kilikuwa kutoweka kwa mpenzi wake Sammy ambaye...
7 Reactions
133 Replies
20K Views
Wimbo mpya wa kampeni za CCM huo tayari hongera https://youtu.be/LC71A3Lnnac?si=OhLTICbv5ofSA6_B
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu Tamasha maarufu la kitamaduni nchini Uganda, ‘Nyege Nyege’ sasa litafanyika baada ya awali Bunge la nchi hiyo kutaka kusitishwa kwa madai ya kuruhusu vitendo vya uasherati. Kwa mwaka huu...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
MTUNZI : SELOPHEADY H. MAGEMBE HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA Huruhusiwi kunakili au kutumia sehemu ya hadithi hii bila ruhusa ya mwandishi. Nilikua nimehitimu masomo ya shule ya upili na kuchaguliwa...
13 Reactions
311 Replies
50K Views
Riwaya hii ni ya kubuni, hivyo mfanano wa matukio wa ndani ya Riwaya na maisha halisi unayoyaishi ni shabaha tu ya fikra za Mtunzi. Karibuni nyote kwa wingi MABADUNI WA SERIKALI Utangulizi...
10 Reactions
196 Replies
35K Views
Kamati ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), wametangaza kuwa sherehe ya utoaji wa tuzo hizo itafanyika rasmi tarehe 19 Oktoba 2024, kuanzia saa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom