Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

RIWAYA YA CONNECTION Mtunzi: Robert Heriel Mwaka 2024 Riwaya; CONNECTION Kazi hii itarushwa katika mitandao kwa akaunti hizi: Facebook: Robert Heriel Tz Jamii Forum: Robert Heriel Mtibeli...
4 Reactions
29 Replies
9K Views
MSANII MARIO NA ABBA MENEJA WAKE,MARA BAADA YA KUJICHUKULIA FEDHA KWA NJIA YA UTAPELI WAMEUKANA MKATABA HUU WA MAKUBALIANO NA KISMATY MEDIA
0 Reactions
3 Replies
930 Views
PHILIBERT KABAGO "Philibert kabago ni msanii wa kizazi kipya ambae masikani ama chimbuko lake ni kutokea jiji Mwanza, na ni sehemu ya Group members waliounda Crew ya " Boys with Voice" Crew ya...
1 Reactions
2 Replies
537 Views
Kama una muda na wewe ni mdau wa movie au series tazama hii series ya From ambayo kwasasa tupo Season 3. Ni moja ya tambala kali sana. Watu mbalimbali kwa nyakati tofauti wakiwa na magari yao...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Mmemsikia King Kong lakini? Rapa Chidi Benz anadai kuwa staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz alisababisha wimbo wake upotee baada ya kuingiza chorus bila ridhaa yake na kisha kuutelekeza studio...
1 Reactions
5 Replies
724 Views
Niliuliza swali humu JF, Kwanini huyu msanii wetu mkubwa anaimba sana nyimbo za kuhamasisha ngono tena kinyume na maumbile. kwa wakati ule sikupata jibu, sasa jibu limepatikana, ila ninacho msii...
1 Reactions
19 Replies
984 Views
Baada Agosti 27, 2024 mahakama kutoa hukumu ya kesi tukio kuuawa kwa Milembe Maunga, na watuhumiwa watatu kukutwa na hatia, wakihukumiwa kunyongwa, kwa sasa napata fursa ya kulielezea tukio hilo...
25 Reactions
355 Replies
158K Views
Msanii Ashanti Anaitwa Ashanti Sheqouiya Hayles maarufu kama "Ashanti" mwanamuziki mkongwe wa RnB kutoka nchini Marekani. Moja kati ya wanamuziki walioacha alama ya dhahabu katika muziki wa...
1 Reactions
9 Replies
719 Views
https://youtube.com/shorts/gTEMno7Z2-U?si=xSlG6kfVeuVYMh01 Kumbe jamaa ana asili ya morocco. Ila Kwenye filamu alitengenezwa ili afananie kama mthailand. Ila jamaa ni mtalaam wa martial arts...
2 Reactions
8 Replies
807 Views
Hii ni habari njema kwa Music Industry yetu kwani baada ya mwaka jana (21 October 2023) tuzo hizi kufanyika BK Arena huko Kigali, Rwanda, sasa ni zamu yetu. Tuzo za Muziki zinazoandaliwa na Trace...
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Habari za Sasa hivi wakuu? Mimi nimiongoni mwa watu wanao penda Sana kutazama movies hasa pale ninapo kuwa nime maliza majukumu yangu. ifikapo jioni wakati huwa naangalia picha hasa za kizungu...
6 Reactions
68 Replies
32K Views
Wakuu kwema? Hope muwazima wa Afya. Wakuu nimetafuta hizi nyimbo bila mafanikio mwenye nazo plz naomba apandishe hapa plz,plz. 1. Nisamehe ya Jay Moe&Ngwea& Bamboo. 2. Ngwea Mida mibovu ft...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
MTANGAZAJI "DJARO ARUNGU WA TBC FM . Watangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) D’jaro Arungu @djaroarungu (Baba Mzazi) na Abdul Khalifa @seankhalifatz wameshinda Tuzo za The MVAAWARDS...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kizazi cha kuanzia kwa Mkapa chukueni hii MAKUNDI YA BONGO FREVA ENZI HIZO: 1. BDP (BIG DOG POSE) - Majobless 2. BORN CREW - Heshima ya ndoa 3. BOYZ FROM THE ARMY - Siku za hukumu 4. BWV (Boys...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, nilikua nahitajii mwenye RIWAYA zozote zile Za kiswahili naomba anisaidie, natanguliza shukrani 🙏
1 Reactions
0 Replies
794 Views
Nafasi niliyoacha hapo juu ni salaam, Kifupi mpangilio wa tukio ni mbovu kupita kiasi, Ma Mc nao ndo wameharibu kabisa shughuli yenyewe! Kifupi hakukuwa na maandalizi kabla ya tukio au labda...
4 Reactions
8 Replies
793 Views
Vipi hii historia unaikumbuka. GCB KUNDI LA MUZIKI TOKA MKOANI SONGEA. ________________________ GCB ni moja Kati ya makundi ya mwanzo kabisa Nchini Tanzania kufanya Muziki kutokea mkoani...
2 Reactions
2 Replies
784 Views
WEMA SEPETU NA KAJALA MASANJA WAGEUKA "PAKA NA CHUI "....ZILE MILIONI 13 ZALETA BALAA ZITO Utabiri wa wengi kuwa ushosti wa waigizaji masistaduu wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Kajala...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari Wana Jamii F..katika miaka ya 200+kuna wimbo nilikua nauona sana TBC enzi ile nadhani ilishabadili jina kaimba kama Mchina flani hivi ulihusu maswala ya VVU yani alipendwa huku ana vvu ni...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Back
Top Bottom