2PAC Vs EMINEM nani zaidi?

2PAC Vs EMINEM nani zaidi?

Mkare_wenu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
1,714
Reaction score
448
Nani anastahili kuwa greatest rapper of all time kati ya hao?
 
kwa kizazi chetu huniambii chochote kuhusu Eminem
 
Eminem ni snitch tu
Kwanza ni dhambi kubwa kumlinganisha na Legendary 2pac
 
umekariri mzee

Jaribu kuonyesha unajua unacho-compare kwanza u cant be serious Pac na Eminem rudi kasikilize joints kwanza cheki documentaries na soma habari za 2pac toka sources mbalimbali alafu uone kama utathubutu kurudi na hizi trash c'mooooon guys hao kuku wenu kama Eminem wana rap cuz the man himself the Late Shakur aliwakua ana-rap otherwise wasingekuta foundation usijaribu kumchulia Pac kirahisi unaonyesha huu utamaduni umeudandia kama vipi cheki ni nini Eminem anasema kuhusu huyo baba ake unaemlinganisha nae.
Hizi comparison mfanye kati ya dogo flani na mwenzie.
OVER...!
 
mnashangaa nn wakati kuna watu wamemshindanisha dube na bob ?
 
Ni sawa na ulinganisho wa mwalimu na mwanafunzi ilihali ukijua mwanafunzi ni mwanafunzi tu!
 
Jaribu kuonyesha unajua unacho-compare kwanza u cant be serious Pac na Eminem rudi kasikilize joints kwanza cheki documentaries na soma habari za 2pac toka sources mbalimbali alafu uone kama utathubutu kurudi na hizi trash c'mooooon guys hao kuku wenu kama Eminem wana rap cuz the man himself the Late Shakur aliwakua ana-rap otherwise wasingekuta foundation usijaribu kumchulia Pac kirahisi unaonyesha huu utamaduni umeudandia kama vipi cheki ni nini Eminem anasema kuhusu huyo baba ake unaemlinganisha nae.
Hizi comparison mfanye kati ya dogo flani na mwenzie.
OVER...!

Nini 2pac anamzid EMINEM?Huyu naye kakariri
 
Watu mnashangaa huu ulinganisho wakati kwa wenzetu huu ulinganisho ni common kabisaBOFYA HAPA
Mkuu ulinganisho wa rap ni ngumu kulinganisha sehemu moja na nyingine sababu rap ni maisha so inategemea mtu zile lyrics zinagusa maisha yake kiasi gani! !!!!!!!!

Chukulia kama Robert Nesta anapendwa na kukubalika na waote wanaobaguliwa kutengwa kunyanyaswa na hata wanaotawaliwa lakini pia anakubalika na wasio hao kwa sababu anasema ya kweli!!!!!

PAC ameweza kushika pande nyingi za maisha ya kawaida vipi kuhusu ShadyNem
 
Aisee namheshim sana 2pac alikuwa anapiga masong yenye ujazo,
Ambayo yataendelea kubamba mpaka kesho.
 
Back
Top Bottom