Naomba mwenye huu wimbo aniwekee.Ni wimbo wa Zilipendwa lakini jina lake silijui ila baadhi ya mashairi yake ni kama ifuatavyo;
Kumbuka matesi uliyonipa kulala njaa na watoto mateso yako siwezi kuyasahau.Kila nikipita wageuza shingo utadhani feni Bwana ooh Bwana.
Kumbuka matesi uliyonipa kulala njaa na watoto mateso yako siwezi kuyasahau.Kila nikipita wageuza shingo utadhani feni Bwana ooh Bwana.