LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 253
Wadau wa muziki wa wa dansi. Kuna nyimbo nimezikumbuka za siku nyingi kama kuna anayeweza kuweka hapa jamvini itakuwa faraja iliyoje kwangu, maana sijui jinsi ya kuzipata ukizingatia siku hizi bongo fleva imetawala.
1. Mwanaidi:uliimbwa na bendi ya toma toma.
2. Alimasi: Uliimbwa na bendi ya super matimila.
3. Mshenga: Uliimbwa na juma ubao-kwenye wimbo huu juma ubao aliimba, kapiga kinanda, solo gitaa,sax
1. Mwanaidi:uliimbwa na bendi ya toma toma.
2. Alimasi: Uliimbwa na bendi ya super matimila.
3. Mshenga: Uliimbwa na juma ubao-kwenye wimbo huu juma ubao aliimba, kapiga kinanda, solo gitaa,sax