Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimeanza tabia mbaya tangu nikiwa shule ya msingi, nimefanya na watu wengi sanaa tena sanaa. Lakini kwanini naandika kitabu hiki?? Ni kwa sababu ninataka ufahamu kitu; kuwa tangu nianze kuwa na...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimetulia mbele ya kioo cha TV nikasema leo nisikilize nyimbo za injili ili kuiandaa ibada ya jumapili. Kama mnavyojua walevi na wapenda starehe huanza kujiandaa siku ya ijumaa hivyo nami nikasema...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wadau leo nimejaribu kutumia AI kuandika hadithi ya kijasusi iliyomhusu bwana mdogo Daniel Khalife(Ex-soldier). Twende pale :) Katika ulimwengu wa kivuli na hila za kijasusi, jina Daniel...
2 Reactions
0 Replies
834 Views
Albamu ya Apollo ya Fireboy DML: Safari ya Upekee katika Muziki wa Afro-Beatz Katika ulimwengu wa muziki wa Afro-beat, albamu ya Apollo ya Fireboy DML ni mfano halisi wa ubunifu wa kisanaa na...
1 Reactions
8 Replies
697 Views
MFUMO WA UUZAJI WA ALBUM AMA KAZI ZA WASANII.. Wasanii wa Tanzania wana sababu nyingi sana za kwanini hawatoi album. Baadhi ya sababu kama kufa kwa mfumo wa uuzaji wa album uliokuwa ukifanywa na...
0 Reactions
7 Replies
643 Views
kanumba akiwa na 21yr's alicheza filamu hii, watu wengi sana hawajawahi kuiona ila sasa ipo YouTube nenda kaitazame.
1 Reactions
6 Replies
772 Views
Hey, hey, hey, hey If you want to be happy for the rest of your life Never make a pretty woman your wife So for my personal point of view Get an ugly girl to marry you If you want to be happy for...
0 Reactions
4 Replies
634 Views
Ili umuelewe lazima uwe umesoma Cuba au una C flaat kwa sababu nikki mbishi huwa hawaimbi vilaza kabisa.Yeye yupo mbele muda https://www.youtube.com/watch?v=hdA0WP4skII
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Baada ya miaka mingi ndio sasa tunaanza kumuelewa Diddy na janja janja zake. Wakati wanajua namna pac alivyokuwa analalamika kwa kuwaanganisha bad boys na tukio lake kupigwa ila bado waka toa...
0 Reactions
1 Replies
478 Views
Nikiwa kama mdau mkubwa wa muziki wa bongo fleva huwa naona kuna kitu kabisa kinamiss! Hawa wasanii wetu wa kuimba ambao tumekuwa tukiwaita wabana pua namna yao ya uimbaji huwa haishawishi kabisa...
12 Reactions
60 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Helo! Zoezi la upigaji kura kwa ajili ya tuzo hizi umeanza. Pigia kura wimbo wako bora kati ya wasanii hao waliofanya vizuri Afrika kwa mwaka wa 2024.
2 Reactions
9 Replies
962 Views
Mzee wangu aliwah kunambia kuwa ntapata shida sana nikiwa mtu mzima dunia hii. Sabab aliniona ni mtu ninayependa na ku enjoy ukwel na hii imesababisha nikose hata marafiki wengi. Hizi movie za...
9 Reactions
56 Replies
6K Views
MWANA FA ( SONG - NAZEEKA ) Wote bado wana fuata mi ni kama mdundiko/ hata ujifiche wapi sauti itakufuata ulipo/ busara na maumivu katikati ya kauli zangu/ mimi ni kaka mkubwa jamaa msibishane...
0 Reactions
4 Replies
938 Views
Ukisikiliza nyimbo za kihaya na Design yake ya uchezaji, vikitumika vizuri tunapeleka Bongofleva kwenye Grammy. Grammy wanapenda vitu asilia, na sio vya ku-copy. Ukisikiliza hii nyimbo ya...
0 Reactions
1 Replies
460 Views
[Blue] yep yep kushuka na kupanda, jana tumeshuka cheki leo tunapanda nimepata idea ya kusambaza kanda, nimepata show za kenya na uganda burundi na rwanda, twende pamoja twende tukasake chanda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SISTER P FT. UNIQUE SISTERS "NIMERUDI TENA" ""Nimerudi Tena nina maana katika fani/ nataka kukumbuka Enzi zangu za zamani/ niliposhika mic watu walinipenda/ nikawa kimya kidogo watu wakaponda/...
3 Reactions
7 Replies
932 Views
CHANGAMOTO ZA WALIMU KATIKA TAIFA LETU LA TANZANIA.. "kutokana na uhalisia kwamba hali ya elimu kuzidi kuwa mbaya nchini hali hii imetokana na Changamoto zinawakabili walimu kama ifuatavyo:-...
0 Reactions
1 Replies
783 Views
THAMANI YA MWANAMKE KATIKA JAMII. Mwanamke amekuwa nguzo muhimu sana ndani ya familia pale ambapo mwanaume anakuwa hajui wajibu wake ndani ya famili , Hii imekuwa ina tokea katika nyakati...
1 Reactions
1 Replies
391 Views
UMUHIMU WA ELIMU. Dunia ya leo inahitaji utaalam/ufundi wa namna nyingi/Mbalimbali kwa mtu mmoja ili afanikiwe na kuwa kivutio katika soko la ajira na kuweza kwenda na wakati kulingana na...
1 Reactions
2 Replies
392 Views
Back
Top Bottom