Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Huyu Tayla ni binti mdogo lakini ni hatari. Hii nyimbo aliyo toa sasa kaziba midomo ya watu. Mwaacheni abebe tuzo zote nyie endeleeni kuruka hizo amapiano tuzo mtazisikia kwenye bomba...
1 Reactions
9 Replies
707 Views
https://www.youtube.com/watch?v=TD2UdkY-nYI Planet Rizq - Official Movie Trailer In the distant future, humanity's history is forever changed when several colossal pyramid-shaped ships arrive...
0 Reactions
1 Replies
484 Views
Ni mimi wako UWESUTANZANIA, Leo wacha niwape Fursa vijana wenye vipaji na hawajapata mtu wa kuwashika mkono. Ndugu yangu kama wewe ni msanii chipukizi na unahangaika siku zote, una kipaji cha...
0 Reactions
8 Replies
656 Views
NAWAKILISHA - PROFESSOR JAY ( VERSE) BY PROFESOR JAY Swadata..!! Toka utotoni sauti inawika/ nami napiga goti kwa watu nakubarika/ Najenga imani kwa mashabiki wengi ma dingi/ vinapo chekechea na...
3 Reactions
2 Replies
628 Views
Hawa watu walitingisha sana enzi zao. Kati ya hawa mastar waliochuana sana enzi zao, wewe unamkubali nani zaidi weka vigezo 1. Number of awards Won, eg Oscra, BET, Grammy Etc 2. Ngoma zilizoshika...
12 Reactions
56 Replies
7K Views
Wadau wa series na single movie kwa upande wangu Mimi ni mpenzi wa historical series na historical single movies .. Kama kuna unazozifaham za mwaka 2023-2024 unaweza list ili ambao hatuja watch...
2 Reactions
6 Replies
787 Views
Ni movie ipi ambayo uliichukua ukaingalia mara ya kwanza hukuielewa ukarudia mara ya pili ndo ukaelewa, au pengine hata mara ya pili pia hukuelewa ikabidi ulizie kwa watu waliyo iona wakueleweshe...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA KWANZA (01) man Middo +255 655 969 973 Ilikua 2012 nilipata kumaliza kidato cha 4. Nilijijua kuwa nitafeli tu kutokana na sababu ambazo ndugu na mama...
6 Reactions
60 Replies
30K Views
SIMULIZI: SABABU NI KIFO CHAKO BABA! (Kisa cha kweli cha kusisimua) SEHEMU YA KWANZA (01) MTUNZI: Man Middo Tz +255 655 969 973 Hakika kila kukicha shukrani kwa Muumba kwa kukufikisha siku...
2 Reactions
29 Replies
7K Views
Yeah...!! Aaah Aah Aah Dar es salaam stand Up Again.. Kg song Chuma. Aaah Aaah Aaah Verse.. 1. ( chid benz). Najulikana kama Ugali msingi na Secondari/ Boma primary mita chache na usawa wa...
1 Reactions
1 Replies
505 Views
RIWAYA; BAHARIA NA;BAHATI MWAMBA SIMU; 0758573660 VITABU VILIVYOPITA. • MPANGO WA CONGO • DAKIKA ZA MWISHO • URITHI WA GAIDI • OPERESHENI JICHO LA PAKA • SAUTI YA MTUTU • MBWA...
14 Reactions
220 Replies
68K Views
WATU PORI - NAFSI YA MTU. Watu pori a.k.a washamba a.k.a washamba a.k.a washamba /nyani wapya msitu wa zamani beat mjerumani mambo yote kwa Bonnie/ Sikiliza haya ninayo kueleza leo na kesho...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
PROFESOR JAY FT LB GENIUS & IMAM ABAS " NA BADO" Natumia nafasi hi kudhibitisha kipaji changu/ nikiwa ni mkakati wa kuinua jina langu/ na huu sio mkwala tu ni msisitizo wenye nia/ kama kipaji...
2 Reactions
9 Replies
821 Views
Sikuwahi kuwambia watoto wangu kuwa nilikua nafanya kazi gani. Kamwe sikutaka wajihisi aibu kwasababu yangu, pindi binti yangu aliponiuliza nilikua naenda kufanya nini ninapotoka, nilitumia muda...
1 Reactions
1 Replies
727 Views
Wakuu ushauskiliza huu wimbo wa marioo uitwao 2025. Ukiuskiliza huo wimbo ni ameongea mapnzi tu. Akisisitiza kuwa atadumu na mpnz wake Hadi 2030+ Sasa huu wimbo ukiuskiliza kwa upande wa...
0 Reactions
4 Replies
664 Views
ALBUM YA PROFESOR JAY "MACHOZI ,JASHO NA DAMU https://www.facebook.com/100064569174258/posts/pfbid0Eksw2k3qTSg3kzXd5H6BtXzEYYNiNtGTXA6K24WvMf2U6zETpBsMxgtCTF6L1u2yl/?app=fbl "Machozi Jasho na...
1 Reactions
2 Replies
575 Views
Wanabodi, leo nikiwa natoka mahali kwa kutumia public transport, ukapigwa wimbo wa King Kikii, kitambaa cheupe, hivyo from no where, nimetokea kumkumbuka mwanamuziki mkongwe huyu, jina kamili ni...
4 Reactions
34 Replies
5K Views
Baadhi ya watangazaji wanatumi majina bandia(AKA) kwa sababu mbalimbali kama vile ubaya wa majina Original, jina kufanana na la kwenye bibilia mfano Yohana, Yeremia, Petero nk. Kwa hakika sababu...
5 Reactions
123 Replies
5K Views
Mkasa : NDOA ILIVYOTETERESHA IMANI YANGU Mwandishi: IRENE MBOWE (Irene Mbowe Kungwi Lao) Imeletwa kwenu na: BURE SERIES Hiki ni kisa cha ukweli kabisa, anachokielezea Flora, Mwanamke ambaye...
2 Reactions
93 Replies
17K Views
Huyu mzee wakati huo sijui alikuwa anawaza nini wakati anatunga huu wimbo . Kweli muziki ni fasihi ya wakati. Ukiangalia kwa nyakati za sasa ni kama vile kuna mtu(kiongozi) anaona matatizo ya Watz...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Back
Top Bottom