Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

jamani natafuta sana hii tamthilia kila juhudi nazozifanya i endup gettin vipisi vpisi tafadhar msana jaman. Wapo watakaobeza na kukejer but naitafuta sana ni ya wafilipino.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya haya wale wazee wa movie za ki spy na intelligensia yule mtaalamu mtuhumiwa(Ex FBI agent)-Most wanted fugitive anayejua mambo mengi kushinda FBI wenyewe Mr Redington akiwa na mwanawe keen...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini hapa Jamvini Kuna Movies za Kihindi zinapatikana miaka ya Karibuni kwa TORRENTS unazipata tena na hivi AIRTEL wameleta OMG baasi ni kupakua tu...with English Subtittles Hii ni List ya...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
hawa madogo wanakuja juu aisee, mkubwa fella naye aonyeshe mabadiliko kwa kuongeza budget kwenye videos zao, bila hivyo watabakia anga hizi tu, cheki video yao hapa chini
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari wakuu!! Ki ukweli mimi ni mfuasi sana nyimbo za south africa na kuna Dj mmoja nimemkuta bar moja kinondoni inaitwa Uhuru peak jamaa ni mkali anaitwa Dj willz anagonga ngoma za bondeni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamaniii kwa mtu yoyote aliyoiona hii movie naombeni maoni yenu coz mm nimeiangalia mmh cjui nyie wana jf wenzangu
0 Reactions
1 Replies
874 Views
jamaa wanaimba ila wanaonufaika wengine kwel bongo ni bongoland
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa series za kijasusi,siasa za kimafia, ugaidi na upelelezi wakae mkao wa kula. Huku tukiendelea kuisubiria homeland na kuendelea kuangalia series kali ya Arrow na sasa tukae...
11 Reactions
544 Replies
49K Views
bwana eeh kwa taarifa za uhakika msanii TI kutoka US anatarajiwa kutua bongo ndan ya leaders club tr.18 oct kama we n shabik wa TI nadhan unaelewa namanisha nn ¤no midiocre¤
0 Reactions
2 Replies
757 Views
jamani info za ndani ndio hizo. KK - Khalifa's Kush
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mara nyingi watalii wanaoingia Tanzania wanaimbiwa kibao cha Kenya ambacho ukweli ni kizuri. Kwa kuwa ni wimbo wa kenya basi unakuta tunatoa Kenya penye Kenya tunaweka Tanzania na inakuwa haina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pegging down the top nightclubs in Europe is a hard one. In part it's difficult to pinpoint which European Nightclub's come out of top because of the sheer number of clubs across the continent...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
YOUNG KILLER bado ni msanii mchanga lakini mambo anayofanya ni makubwa. Kazi zake zimekuwa na ladha tofauti sana na ambacho tumesikia mpaka sasa kutoka kwa wasanii wa Hip Hop hapa nchini. Mfano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwenye Zouk Rhumba huko Diamond na Ally Kiba hawana mpinzani anayewafuata. Ila kwa RnB basi Jux anatoa upinzani mkubwa kwa Rama Dee kwa sasa. Ametambulisha nyimbo mpya iitwayo sisikii, ni shida...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Tamasha hili litahusisha vikundi vya nndani vya Tanzania,jumla ya vikundi 136 vimethibitisha kushiriki vikiwemo vikundi 5 kutoka nje ya nchi vikundi hvyo ni kutoka norway,german,kenya na bbrazil...
0 Reactions
1 Replies
961 Views
Kuna hili lingoma sijui linaitwaje.......limenisuuza mbayaaa.....Mwenye kuliimba anaitwa Mr Flavor......ni remix....kalipiga Kayanda kwenye top 20 leo Clouds (kwa waliokuwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
King Kiki, Ndala Kasheba, Kabeya Badu, Baziano hao ni baadhi ya wanamuziki waliokuweko kwenye kundi lile la muziki la Fauvette lililoleta nyimbo kama Vivi, Zula, Francisca na nyingine nyingi tamu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kuna wimbo mmoja naupenda sana lakini sina bahati ya kuujua wala kuwa nao!! Ni wa kitambo kidogo nimekuwa nikiusikia kwenye maredio tu, jina lake sijwahi kulijua. Wimbo sijui umeimbwa na nani ila...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
http://youtu.be/6k6tgTROu88 Published on Sep 13, 2014 Flavour (Nigeria) and Victoria Kimani (Kenya) with a fusion of Flavour’s 2013 smashing hit...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Msanii sam wa ukweli akiwa ktk maonyesho yake ktk wilaya ya liwale amekutana na majanga baada ya baunsa aliye kuwa anaangalia usalama getini na kukagua uhalali wa tiketi za kuingilia kupigwa kisu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…