jamani natafuta sana hii tamthilia kila juhudi nazozifanya i endup gettin vipisi vpisi tafadhar msana jaman. Wapo watakaobeza na kukejer but naitafuta sana ni ya wafilipino.
Haya haya wale wazee wa movie za ki spy na intelligensia yule mtaalamu mtuhumiwa(Ex FBI agent)-Most wanted fugitive anayejua mambo mengi kushinda FBI wenyewe Mr Redington akiwa na mwanawe keen...
Habarini hapa Jamvini
Kuna Movies za Kihindi zinapatikana miaka ya Karibuni kwa TORRENTS unazipata tena na hivi AIRTEL wameleta OMG baasi ni kupakua tu...with English Subtittles
Hii ni List ya...
hawa madogo wanakuja juu aisee, mkubwa fella naye aonyeshe mabadiliko kwa kuongeza budget kwenye videos zao, bila hivyo watabakia anga hizi tu, cheki video yao hapa chini
Habari wakuu!!
Ki ukweli mimi ni mfuasi sana nyimbo za south africa na kuna Dj mmoja nimemkuta bar moja kinondoni inaitwa Uhuru peak jamaa ni mkali anaitwa Dj willz anagonga ngoma za bondeni...
Kwa wale wapenzi wa series za kijasusi,siasa za kimafia, ugaidi na upelelezi wakae mkao wa kula. Huku tukiendelea kuisubiria homeland na kuendelea kuangalia series kali ya Arrow na sasa tukae...
bwana eeh kwa taarifa za uhakika msanii TI kutoka US anatarajiwa kutua bongo ndan ya leaders club tr.18 oct kama we n shabik wa TI nadhan unaelewa namanisha nn
¤no midiocre¤
Mara nyingi watalii wanaoingia Tanzania wanaimbiwa kibao cha Kenya ambacho ukweli ni kizuri. Kwa kuwa ni wimbo wa kenya basi unakuta tunatoa Kenya penye Kenya tunaweka Tanzania na inakuwa haina...
Pegging down the top nightclubs in Europe is a hard one. In part it's difficult to pinpoint which European Nightclub's come out of top because of the sheer number of clubs across the continent...
YOUNG KILLER bado ni msanii mchanga lakini mambo anayofanya ni makubwa. Kazi zake zimekuwa na ladha tofauti sana na ambacho tumesikia mpaka sasa kutoka kwa wasanii wa Hip Hop hapa nchini. Mfano...
Kwenye Zouk Rhumba huko Diamond na Ally Kiba hawana mpinzani anayewafuata. Ila kwa RnB basi Jux anatoa upinzani mkubwa kwa Rama Dee kwa sasa.
Ametambulisha nyimbo mpya iitwayo sisikii, ni shida...
Tamasha hili litahusisha vikundi vya nndani vya Tanzania,jumla ya vikundi 136 vimethibitisha kushiriki vikiwemo vikundi 5 kutoka nje ya nchi vikundi hvyo ni kutoka norway,german,kenya na bbrazil...
Kuna hili lingoma sijui linaitwaje.......limenisuuza mbayaaa.....Mwenye kuliimba anaitwa Mr Flavor......ni remix....kalipiga Kayanda kwenye top 20 leo Clouds (kwa waliokuwa...
King Kiki, Ndala Kasheba, Kabeya Badu, Baziano hao ni baadhi ya wanamuziki waliokuweko kwenye kundi lile la muziki la Fauvette lililoleta nyimbo kama Vivi, Zula, Francisca na nyingine nyingi tamu...
Kuna wimbo mmoja naupenda sana lakini sina bahati ya kuujua wala kuwa nao!! Ni wa kitambo kidogo nimekuwa nikiusikia kwenye maredio tu, jina lake sijwahi kulijua.
Wimbo sijui umeimbwa na nani ila...
Msanii sam wa ukweli akiwa ktk maonyesho yake ktk wilaya ya liwale amekutana na majanga baada ya baunsa aliye kuwa anaangalia usalama getini na kukagua uhalali wa tiketi za kuingilia kupigwa kisu...