godfrey_avya
Senior Member
- Feb 25, 2014
- 131
- 24
Kwa mimi clouds wamejitahidi na kuzima kosoro zote za vipindi vilivyo pita vp kwa upande wako?
Ebu simulia basi wengine tuko mashariki ya mbali hata hatujui what us happening. Wameziba gap gani tofauti na alivyokuja yule dada wa Jamaica?