Filipo Lubua
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 339
- 579
Jamani, Kiswahili kinachanja mbuga kimataifa, na ni jukumu letu kukifikisha mbali zaidi. Hawa ni wanafunzi wa Kiswahili waliosoma kwa wiki takribani sita katika chuo Kikuu cha Florida, nchini Marekani. Itazame filamu hii fupi, na utaburudika bila kikomo:
Last edited by a moderator: