Je, Elizabeth Michael (Lulu) afungwe kama Pistorious?

Je, Elizabeth Michael (Lulu) afungwe kama Pistorious?

masalamashaka

Member
Joined
Oct 13, 2014
Posts
21
Reaction score
8
Jana,katika kesi iliyokuwa na mvuto mkubwa duniani..Mwanariadha Pistorious anayedaiwa kumuua mpenzi wake bila kukusudia huko South Africa siku ya wapendanao mwaka jana..amehukumiwa miaka 5 jela.

Ukirudi hapa kwetu,yupo msanii Elizabeth Michael(Lulu) ambaye ana mashtaka yanayataka kufanana na ya Pistorious na hata ya Lulu kuwa makubwa kidogo..
Je unalichukuliahlje hili?
 
Komenti yangu inahifadhiwa kwa sababu za kiusalama
 
Mimi nadhani Watanzania hatuko serious na maisha ya watu..marehemu hajatendewa haki hata kidogo. Inabidi Lulu apate adhabu na iwe fundisho kwa wengie.
 
Tuache mahakama ifanye kazi yake , circumstances za kesi ya lulu ni tofauti na za Pistorius japokuwa zote ni Manslaughter.....tusijivike majukumu ya Mahakama kumbuka Mama kanumba (Flora Mtegoa] ana uchungu kushinda wewe na mimi ila yeye kaiacha mahakama ifanye kazi yake
 
Tuache mahakama ifanye kazi yake , circumstances za kesi ya lulu ni tofauti na za Pistorius japokuwa zote ni Manslaughter.....tusijivike majukumu ya Mahakama kumbuka Mama kanumba (Flora Mtegoa] ana uchungu kushinda wewe na mimi ila yeye kaiacha mahakama ifanye kazi yake

Unaongea ww kama msemaji wa familia au shobo tu,mtoa mada kawasilisha uzi akifanya ref ya kesi kama hyo ilyotokea SA sasa ww unakuja na yako ukitaka watu wasitoe mawazo yao..WTF
 
Unaongea ww kama msemaji wa familia au shobo tu,mtoa mada kawasilisha uzi akifanya ref ya kesi kama hyo ilyotokea SA sasa ww unakuja na yako ukitaka watu wasitoe mawazo yao..WTF

Utoe mawazo yako kama nani...hata ukitoa mawazo yako kwanini utoe hukumu?? Uache kutumia cha kunyea katika kupambanua mambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom