sababu za kutemwa?Hasheem Thabeet Aondolewa Pistons:
nyota wa kikapu ndani ya NBA mTanzania ametemwa na timu yake mpya Detroit Pistons kutoka jimboni Michigan aliyojiunga nayo siku kadhaa zilizopita.......
well said mkuukwa hicho kidogo alicho make huko,awahi kuja nacho bongo,aje awekeze ktk miradi mbalimbali kabla hajafuria ile yenyewe.
Kwa urefu ule na ile profile yake ya ki-nba kuonekana mitaa ya new york anabeba box ni aibu kubwa sana kwa taifa.
haya ni mambo serious lakini imenibidi nicheke.kwa hicho kidogo alicho make huko,awahi kuja nacho bongo,aje awekeze ktk miradi mbalimbali kabla hajafuria ile yenyewe.
kwa urefu ule na ile profile yake ya ki-NBA kuonekana mitaa ya new york anabeba box ni aibu kubwa sana kwa taifa.
kwa hicho kidogo alicho make huko,awahi kuja nacho bongo,aje awekeze ktk miradi mbalimbali kabla hajafuria ile yenyewe.
kwa urefu ule na ile profile yake ya ki-NBA kuonekana mitaa ya new york anabeba box ni aibu kubwa sana kwa taifa.
Najua kwa ulimbukeni na ujinga wa waTANGANYIKA hii itakuwa ni habari njema kwao ambayo itapokelewa kwa nderemo na vifijo...
Atarudi kivipi na ana mtoto na mmarekani?hizo hela ni zao jamaa hata akirudi atarudi mikono mitupu.awaulize Wesley Snipes na Mike Tyson wampe dondoo.kwa hicho kidogo alicho make huko,awahi kuja nacho bongo,aje awekeze ktk miradi mbalimbali kabla hajafuria ile yenyewe.
kwa urefu ule na ile profile yake ya ki-NBA kuonekana mitaa ya new york anabeba box ni aibu kubwa sana kwa taifa.