Maisha ya mwanadamu yanaambatan na misukosuko ya hapa na pale na chagamoto za aina mbalimbali.
chagamoto ambazo hutufanya tujisikie wanyonge, wapweke, kukata tamaa, hata pangine kuhisi...
Dah Sio mbaya nikiwashtua kwamba kuna jiwe jipya kutoka kwa watu wanaojiita district_9, Hii ni ngoma yao ya kwanza mimi kuisikia, imerekodiwa ktk studio za BHitz chini ya usimamizi wa Pancho...
Najua wapo wapenzi wa taarabu humu ndani na mtanisaidia kuutambua huu wimbo nauambatanisha hapo chini
Nautafuta sana nilibahatisha kuusikia kwenye redio ikabidi niurekodi fasta hizo sekunde za...
Nawez Sana Kuimba Ila Cjapata Mzamin Na Sina Sapot Yoyte.Nisha Jarbu Kutafta Msada Ila Hakuna Nlichoambulia Zaid Ya Kukatishwa Tamaa...Naweza Sana Kurap Pia Ata Rnb,tatzo Ni Uchum Wang Yan Bdo Uko...
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/03/Naziz.gif
Tumezoea kuona wasanii mbalimbali wa Tanzania wakipata endorsement deals za makampuni na picha zao kutumika kwenye mabango makubwa ya...
Wadau nadhani huu utakuwa mpambano mkali wa kali wa bongo fleva wanaofanya vizuri kibongobongo. Je, ni nani mkali kwako kati ya Aly Kiba na Ney wa Mitego? Karibu..
Kimewaka SOUTH AFRICA baada ya jamaa kuficha madawa na kudai yamepotea. Wazee wakazi wakafanya yao.Tevez mume wa Fatma mchina au aliyekua mume wa Isha Mashauzi.
Ndio hivyo tena wadau washakata...
Nazungumzia wasanii wakali wote wa dancehall,reggae album zao zipo hapa
kuna majina yao yamepangwa kwa alphabet afu ndani ya kila jina kuna album zake>>>>utakutana na list kama hii
[DIR]...
Huyu jamaa anae watungia nyimbo hawa watoto atakua anamatatizo sana kama sio msela, maana nyimbo za hao madogo zimajaa mazingira ya matusi tusi na wala haziko sawa zile.
Pia nikiangalia umri wa...
Mshindi wa Super Diva Serengeti fiesta 2014 pia anatamba na single ya ""Na Yule "" .
Kipindi cha mwanzo nilihisi kama Clouds Media Group wanambeba hivi ila baada ya kumuona kwenye party...
Nimepata idea ya kuandika mistari na baadae kama ikiwezekana turekodi ngoma yetu inayozungumzia JamiiForums. Hapa nataka bars kadhaa kutoka kwa members tutengeneze kitu cha maana.
Hivi hawa kina Mzee Yusufu, khadija Kopa n.k hawaoni Kama video zao hazina quality hata kidogo, hlf Ukiangalia tuna directors wakali sana, AJ, Nisher, Khalfani, Hansscana, Pablo n.k , mashabiki...
Lile kundi la mziki lilovuma miaka ya 90 na mwamzoni mwa miaka ya 2000 ECT lipo mbioni kurudi upya. Kundi hilo lililoundwa na wasanii kama King Crazy GK,AY, Mwana FA na wengineo lipo katika hatua...