Nani Mkali wa melodi hapa nchini

Nani Mkali wa melodi hapa nchini

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,681
Eti kati ya Christian Bella na Tunda man ni nani mkali wa melodi hapa nchini

Au nani unaye mkubali kuwa ni mkali wa melodi hapa Tanzania mtaje
 
bora hata ungemfananisha christian bella na matonya
 
DOGO ASLAY, JAMANI yani YULE DOGO ANGEENDELEA KUIMBA AS SOLO ARTIST,
ANGEKUSHAKUWA NA JINA KUBWA SANA,
ANA MELODY KALI.
 
Christian Bella n level nyingine huyu Tunda kaz yake kulalamika na kulialia
 
Christian Bella hajawahi kuniangusha hata siku moja
 
Huyu Bella sikumjua kabla. Hivi majuzi officemate aliniwekea wimbo wa USILIE, niliuliza mara tatu huyu jamaa yupo hai? Ni nani huyu?
Aisee ni mashine... Nyimbo zake ni kali, zinatukumbusha watunzi halisi wa enzi hizo Akina Jabali la Muziki, Mbaraka Mwinshehe, Chiriku Hemedi Maneti....
 
Eti kati ya Christian Bella na Tunda man ni nani mkali wa melodi hapa nchini

Au nani unaye mkubali kuwa ni mkali wa melodi hapa Tanzania mtaje

Katika Wote Hapo Hakuna ILA Mkali Wa Melody Tanzania Nzima Ni Kingwendu Ngwendulile Mzee Wa Raha Duniani.
 
Back
Top Bottom