lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
wakuu tumezoea kuangalia mashindano ya BIBI BOMBA, sasa kama ingekuepo BABU BOMBA unadhani ingefana zaidi ya bibi bomba. na katika babu bomba,wewe ungempendekeza nani?
wakuu tumezoea kuangalia mashindano ya BIBI BOMBA, sasa kama ingekuepo BABU BOMBA unadhani ingefana zaidi ya bibi bomba. na katika babu bomba,wewe ungempendekeza nani?
wewe ndo ungekua mshindi...
Umezoea kuangalia na nani huo upuuzi?
Ningempendekeza my super star, The King of All Bongo Social Media's Le Mutuz.
Na angeshinda tu.
Gwajima angeshinda !!!
Hahahahah... Umekula maharagwe ya wapi wewe...