Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

muziki wa bongo fleva ndio kwa asilimia kubwa unaua vipaji vya mamilioni ya wanafunzi nchini kupata elimu.siku hizi kila mwanafunzi awe wa primary,sekondari, wanafeli mitihani au wanashindwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau wa hii series nilisikia mwezi wa 4 ndio inatoka mbona sasa mwezi unakata tu hakuna kitu? Nani anayo kama ishatoka?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni moja ya Best Opera/Tv Drama ambazo nmewah kuziona ukiziweka na desperate house wives, devious maids n.k nimefanikiwa kuina season one mpaka episode ya 26 nyingnine nimezisaka sana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iliripotiwa kuwa Wizara ya Habari, Vijana na Utamaduni ililikabidhi suala la utata wa Miss Tanzania 2014 kwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ili kufanyiwa uchunguzi. Pia ilidaiwa kuwa BASATA...
3 Reactions
112 Replies
9K Views
wadau kwa waelewa wa studio za kurekodi nyimbo za injili yenye viwango vya hali ya juu mnisaidie kuijua na bei zake ikiwezekana. ...shukrani kwa msaada na ushauri wenu...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Bila kuweka mbwembwe ambazo mara nyingi huharibu muziki badala ya kuboresha,ningependa watu kama Twanga pepeta na albamu zao kama Kisa cha mpemba,Ukubwa jiwe nk zirekodiwe upya maana ni nyimbo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
​for me these are the best of the best;they are not classics per-se its a mixture of CLASSICS,JAZZ,BLUES AND ROCK AND ROLL .kwa wale wadau endelea kutupia nyingine what a wonderful...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Kwa wale wapenzi wa Fast & Furious ambao hawakuwa na uhakika kama itaendelea. Jana Vin Diesel ame-confirm fast8 itakuwa in theaters April 14, 2017. Tukae mkao wa kula japo naona mbali kinoma.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Fast & Furious 7 becomes quickest film ever to reach $1bn globally Fast and Furious 7 led the US box office over the weekend for the third consecutive week, scoring another $29.1m (£19.5m) to...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Unahisi kwanini filam za kitanzani sio bora kama hollywood au nollywood?
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Habari gani wadau wa Jukwaa hili! Naomba msaada wenu wa hali na mali niweze kupata nyimbo hizi za WASANII wa zamani zenye radha tofauti ili nami niweze kukumbusha enzi kidogo; A. PEPE KALLE 1...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii video ya sophia ya ben pol mnaichukuliaje wadau
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa series hebu niambieni mnaona nini kinaweza kua ni common kwa waigizaji hawa 1.Lagnar Lothbrok(vikings) 2.Demon(vampire dairy) 3.T-bag(prison break) ⁴.Flok(vikings)
1 Reactions
17 Replies
2K Views
wadau msaada juu ya hii swala?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu tumezoea kuangalia mashindano ya BIBI BOMBA, sasa kama ingekuepo BABU BOMBA unadhani ingefana zaidi ya bibi bomba. na katika babu bomba,wewe ungempendekeza nani?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
jipakulie ngoma kali ukaskilize
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bruce Lee was a phenomenon. When he emerged into stardom in the early 1970′s, the world was blown away. A martial artist at the top of his form, a captivating presence on film and in...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
naomba msaada wa link ya kupigia kura kilimanjaro music awards 2015
0 Reactions
1 Replies
700 Views
Eti kati ya Christian Bella na Tunda man ni nani mkali wa melodi hapa nchini Au nani unaye mkubali kuwa ni mkali wa melodi hapa Tanzania mtaje
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…