wana jf,, i am 21 years old. nadhaamni sio umri mdogo kwangu but naskitika kuona sijapiga hatua hata moja inayoonekana ingari nina utajiri mkubwa kichwani mwangu,afya na nguvu pia labda sichangamkii fursa sielewi,,
hadi sasa nimeandika tamthilia,filam karibu tano za uhakika kwakua najua vtu vzr lakini sielewi ni lini zitakua into real thing, ninauwezo wa kudesign covers kutengeneza computer na kudeal na internet za cm kikubwa ni sanaa iliyo ndani yangu kwa ujumla i hve 5 songs already internetional ila naskiliza getto nina ipenda technologia nakujifunza sana but maisha yangu yako palepale kila ninaposherehekea mwaka mpya,, elimu yangu certificate IT. Mbona huu utajiri haunisaidii msaada,
hadi sasa nimeandika tamthilia,filam karibu tano za uhakika kwakua najua vtu vzr lakini sielewi ni lini zitakua into real thing, ninauwezo wa kudesign covers kutengeneza computer na kudeal na internet za cm kikubwa ni sanaa iliyo ndani yangu kwa ujumla i hve 5 songs already internetional ila naskiliza getto nina ipenda technologia nakujifunza sana but maisha yangu yako palepale kila ninaposherehekea mwaka mpya,, elimu yangu certificate IT. Mbona huu utajiri haunisaidii msaada,