mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,626
Leo ndio kumekucha tuzo za watu zinaendelea usiku huu
Haya mwagikeni nani na nani wamechukua tuzo
Sio mbaya kusifia vile vilivyowapa tuzo hizo pia, ili watu tusiojua tuzijue kama ni movie taja, kama ni mwimbo, kama ni kipindi cha redio na kadhalika
Pia si ndio hizi tuzo zilisema kwa yale yaliyofanyika ndani ya 2014 kama sijakosea haya twendeni na mwaka 2014. Kama nimekosea sio zilisema kazi za 2014 nita edit.
Hongera kwa wote waliopata tuzo za watu 2015.
Haya mwagikeni nani na nani wamechukua tuzo
Sio mbaya kusifia vile vilivyowapa tuzo hizo pia, ili watu tusiojua tuzijue kama ni movie taja, kama ni mwimbo, kama ni kipindi cha redio na kadhalika
Pia si ndio hizi tuzo zilisema kwa yale yaliyofanyika ndani ya 2014 kama sijakosea haya twendeni na mwaka 2014. Kama nimekosea sio zilisema kazi za 2014 nita edit.
Hongera kwa wote waliopata tuzo za watu 2015.