Don't bother.

Roger Sterling

JF-Expert Member
May 10, 2015
13,012
23,613



Nice one from the homeboy. Safe to say Joh is second to no one in Bongo, when it comes to word-plays. Tight deliverance, tight beat, tight hook, tight verses, tight video, tight everything. 9/10.


 
Last edited by a moderator:
Joh ni habari nyingine kafanya vizuri sana kwenye ngoma na video....

A.K.A kajaribu kuharibu ngoma kadri ya uwezo wake lakini Joh kasaidia kuirudisha juu
 
Joh Makini - Don't Bother Lyrics ft. AKA
[Intro - Joh Makini]
Don't bother
Don't bother
Don't bother (Nahreel On The Beat!)
[Hook - Joh Makini & G Nako]
Tabasamu juu ni meza ya ma-brother
Don't bother
Toto mbili tatu kutia ladha
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
[Verse 1 - Joh Makini]
Atiii
Nasikia kuna tuzo, mpo kwenye list?
Nasikia mnabebwa kwenye ma-playlist
Nasikia mna undugu na hawa journalist
Na vipi kuhusu hizi beef za kule na huku?
-Sijui kuhusu beef, chief, mi nafuga kuku
Wapi? Nani? Lini?
Who? When? Why?
Who am I? maswali ki-spy
Una Wi-Fi?
-Wi-Fi sina, chief, mi niko na wife
Unaandikiwa na Nikki?
-Siijui hiyo kalamu, jomba, naandikia Bic
Unatoa nyimbo nyingi
-Sikumbuki kutoa nyimbo mi natoaga hit
Eti Who am I?
[Hook - Joh Makini & G Nako]
Tabasamu juu ni meza ya ma-brother
Don't bother
Toto mbili tatu kutia ladha
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
[Verse 2 - AKA]
Wooozah!
I tell 'em niggas don't bother
I be in that east coast getting more zaga
I be in the lane on my four-fivers
In the class spend the rands on my gold bottles
I'm with Joey on this track
Tz make a star I be going hard
Ain't it funny how these niggas used to hate?
Now I'm triple 7 got ugali in my plate
Bosi si kelele
Mungu ibariki
Spit the acappella, speed kusaka hela
Keep it super mega
Long way if I drop kutafuta hela
Mbhega ta..ta..ta tava the combo
J.H.P that's my strong hold (my strong hold)
Don't bother!
[Hook - Joh Makini & G Nako]
Tabasamu juu ni meza ya ma-brother
Don't bother
Toto mbili tatu kutia ladha
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
[Verse 3 - Joh Makini & AKA]
Silazi msingi pale shamba usikae kile
Nanunua shamba heka na trektale
Mchaga na mpare
Mchungu na hela ndo jadi, you can't separate
Check tarehe, ID uliobarehe
Ulishakuwa mtu mzima tena huwezi ombale
Watu watakusaga kama gombale
R.I.P Larry Barehe
Sinon Daraja Bee
Kimya si we ni loser, get it?
Unaleta gere ndo gere inazidi bamba
Gere, we ni mbuzi utakula kwa urefu wa kamba
Gere, tulizipanga
Juu tulisanda, kutumia na kiringiringi
Ni kukata ringi ringi
Ili shilingi lingi ziwe mingi mingi
Kwenye matumizi huna wala usiwe dingi dingi
Mi natengeneza waleta mboyoyo mingi mingi
Hoooool' up
Kabugu de wenesi
Play your position
Don't get too comfortable with us
Realest nigga is what I see in the mirror
Business business, I'm getting bigger and bigger
(Oh! Lord)
[Hook - Joh Makini & G Nako]
Tabasamu juu ni meza ya ma-brother
Don't bother
Toto mbili tatu kutia ladha
Don't bother
Daraja mbili Ngarelo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
[Outro - AKA & Joh Makini]
Stealing the show, we taking it from you (aya ya ya ya)
Double the session, double the money (woozaah)
She feeling my flow, I'm taking your honey (aya ya ya ya)
What'd you thought?, you can't tell me nothing (Woozaah)
Aaaah!
Nahreel On The Beat, huh?
-The Industry!
 
Joh Makini - Don't Bother Lyrics ft. AKA
[Intro - Joh Makini]
Don't bother
Don't bother
Don't bother (Nahreel On The Beat!)
[Hook - Joh Makini & G Nako]
Tabasamu juu ni meza ya ma-brother
Don't bother
Toto mbili tatu kutia ladha
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
[Verse 1 - Joh Makini]
Atiii
Nasikia kuna tuzo, mpo kwenye list?
Nasikia mnabebwa kwenye ma-playlist
Nasikia mna undugu na hawa journalist
Na vipi kuhusu hizi beef za kule na huku?
-Sijui kuhusu beef, chief, mi nafuga kuku
Wapi? Nani? Lini?
Who? When? Why?
Who am I? maswali ki-spy
Una Wi-Fi?
-Wi-Fi sina, chief, mi niko na wife
Unaandikiwa na Nikki?
-Siijui hiyo kalamu, jomba, naandikia Bic
Unatoa nyimbo nyingi
-Sikumbuki kutoa nyimbo mi natoaga hit
Eti Who am I?
[Hook - Joh Makini & G Nako]
Tabasamu juu ni meza ya ma-brother
Don't bother
Toto mbili tatu kutia ladha
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
[Verse 2 - AKA]
Wooozah!
I tell 'em niggas don't bother
I be in that east coast getting more zaga
I be in the lane on my four-fivers
In the class spend the rands on my gold bottles
I'm with Joey on this track
Tz make a star I be going hard
Ain't it funny how these niggas used to hate?
Now I'm triple 7 got ugali in my plate
Bosi si kelele
Mungu ibariki
Spit the acappella, speed kusaka hela
Keep it super mega
Long way if I drop kutafuta hela
Mbhega ta..ta..ta tava the combo
J.H.P that's my strong hold (my strong hold)
Don't bother!
[Hook - Joh Makini & G Nako]
Tabasamu juu ni meza ya ma-brother
Don't bother
Toto mbili tatu kutia ladha
Don't bother
Daraja mbili Ngalelo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
[Verse 3 - Joh Makini & AKA]
Silazi msingi pale shamba usikae kile
Nanunua shamba heka na trektale
Mchaga na mpare
Mchungu na hela ndo jadi, you can't separate
Check tarehe, ID uliobalehe
Ulishakuwa mtu mzima tena huwezi ombale
Watu watakusaga kama gombale
R.I.P Larry Barehe
Sinon Daraja Bee
Kimya si we ni loser, get it?
Unaleta gere ndo gere inazidi bamba
Gere, we ni mbuzi utakula kwa urefu wa kamba
Gere, tulizipanga
Juu tulisanda, kutumia na kiringiringi
Ni kukata ringi ringi
Ili shilingi lingi ziwe mingi mingi
Kwenye matumizi huna wala usiwe dingi dingi
Mi natengeneza waleta mboyoyo mingi mingi
Hoooool' up
Kabugu de wenesi
Play your position
Don't get too comfortable with us
Realest nigga is what I see in the mirror
Business business, I'm getting bigger and bigger
(Oh! Lord)
[Hook - Joh Makini & G Nako]
Tabasamu juu ni meza ya ma-brother
Don't bother
Toto mbili tatu kutia ladha
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
Daraja mbili Ngaleloo
Daraja hili hawadandii masoro
Don't bother
[Outro - AKA & Joh Makini]
Stealing the show, we taking it from you (aya ya ya ya)
Double the session, double the money (woozaah)
She feeling my flow, I'm taking your honey (aya ya ya ya)
What'd you thought?, you can't tell me nothing (Woozaah)
Aaaah!
Nahreel On The Beat, huh?
-The Industry!
 
Sikumbuki kutoa nyimbo mi natoaga hit..🏃🏃🏃🏃🏃.
Wewe ni mbuzi utakula kwa urefu wa kamba...🐐🐐🐐
 
hili ni bonge la song classic, mwamba wa kaskazini katika ubora wake
 
Back
Top Bottom