Samahani sana wadau, mi naishi mbeya pande za mwanjelwa hapa. kuna mshkaji wangu hapa anajua sana kuflow yan kuimba muziki wa hiphop, kwa sasa anatafuta kundi lolote la muziki huo aweze kujiunga...
Kia wale wapenzi wa Muziki wa Congo sana sana wale washabiki wa Legrand Mopao, fungua hiyo link uenjoy track yake mpyaa. Mimi binafsi huyu bingwa namkubali sana.
Salaam kwenu wana JF,
Kuna huyu Rapper mtoto wa kike wa kujiita, Chemical, anayetamba na hit single ya Sielewi aliyomshirikisha Soprano kwenye chorus, OMG! Naomba kumpa salute!!! Mtoto ametambaa...
Jah Cure releases this highly-anticipated album produced by him and his team, he spent $70,000 US dollars to record and present it for release with VP Records. A prolific artist, the album tracks...
Habari wadau..
kampeni za mwaka huu zimekuja na mbwembwe nyingi na burudani...
Je, kati ya msaga sumu na Tot nani amefunika?
Jimbo gani linaongoza kwa kuserebuka
Msanii nguli wa mziki wa hip hop FARID KUBANDA (Fid Q) aliimba kwenye moja ya nyimbo zake kua japo bongo flavour ni mzuri kiasi ila HIP HOP kwake ni kila kitu katika maisha (my QUEEN)
Hakika...
Mi naimani kwenye kuzaliwa kila mmoja kazaliwa na kipaji chake binafsi ninavyo kama vitatu.
Yani mpira, kuimba na kutunga stori.
Uzi wangu ni nahitaj watu wa kuanzisha crew la music iwe hiphop...
Natanguliza shukrani mwenye wimbo huu wa BETY, ulioimbwa na juma kakere, ft sintha, anisaidie kwani nimeutafuta youtube hakuna na sehemu nyingine, nitashukuru sana.
Group classes are more than the loud music, fast movements and shouts of encouragement that are seen and heard in a fitness room. You should never be bored with the variety of exercise choices...
Habari za muda huu wadau.
Hope mko poa kabisa,well naomba msaada nahitaji hiyo movie tajwa hapo juu kama kuna mwenye link ya ku-stream au ku-download anisaidie wakuu coz nimejaribu pita kwenye...
Yemi Alade, Wizkid, Davido, and others win big at AFRIMMA 2015
The event was hosted by top Nigerian comedian, Basketmouth and Uganda's Ann Kasiime, while Emma Nyra was the red carpet host.
The...
Passfeed social networking new version 2.0 release is turning heads and providing students already on the network more flexible options and speed of usage. With this new version, the community has...
Katika hili jukwaa letu la celebrity na burudani kidogo nimeona niweze kuangalia maoni ya watu kuhusu wimbo bora Wa kampeni hizi.
Mpaka sasa Kuna nyimbo ya diamond magufuli no one, ambayo...
What'sapp..
Wadau tuzungumzie kidogo usimamizi wa muziki Tanzania.
Ni kwafaida ya wengi hasa wale wanaofanya music..kama mimi
* Je! Ili uwe msimamizi inabidi uwe na sifa gani?
* Ni kazi zipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.