Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Big L, with Jay-Z. You already know the name or you musta heard. Rated highly among rap' heads, Big L alizaliwa tarehe na siku kama ya leo (May 30, 1974) huko NYC. Kwa bahati mbaya Jamaa...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Baada ya kusubiriri kwa muda mrefu sasa wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakae tayari kwa kazi ya kwake Diamond Platnumz ambayo amemshirikisha Mr Flavour kutoka Nigeria ambayo inaitwa Nana,leo...
4 Reactions
40 Replies
8K Views
Anayejua jina la wimbo wa banana zoro unaosema........NIWE NAWE MPAKA MILELE bz niki google hauji....
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Taarifa iliyonifikia ni kwamba kile kipindi maarufu cha Planet Bongo kinachorushwa kila jumamosi na kituo cha East Africa Radio na kungurumishwa na Mjukuu wa Ambua 'Dullah' kimefutwa rasmi na...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
jamani hivi ni kweli kwamba wasanii wetu hawana ubavu wa kupata tuzo za kimataifa kama channel O,BET,MTV bila kufanya colabo na wasanii wakubwa wa nje kama davido,2face, mr.flavour,P.SQUARE ?maana...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Jamani hivi ulishajiuliza kwa kina kwanini movie na CD za nyimbo za wasanii wa bongo haziuziki nje ya nchi za K 4 REAL tu ndizo zinauzika kama njugu nje ya nchi. Wakuu kwanini inakua hivi?
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Members.. Nimebahatika kuiona hii documentary ya nguli wa muziki wa miaka ya kati hapa (1977 - 1996) Ramadhani Mtoro Ongala au maarufu kama Dr. Remmy.. Kusema ukweli pamoja na kumfahamu Dr. Remmy...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
KUTOKUCHEZWA KWA VIDEO YA DIAMOND (NASEMA NAWE) KWENYE CHANELI ZA KIMATAIFA Kwanza nianze kwa kumpongeza diamond kwa kubadilsha aina ya muziki anaoufaya hii yote ni...
0 Reactions
116 Replies
12K Views
Kufuatia mafanikio ya misimu miwili iliyopita ya coke studio, coca cola company kwa kushirikiana na Kenya airways wanakuletea coke Studio season 3 Tofauti na show nyingine, show hii haiko...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Naomba nitumie lugha kali kumkemea huyu Msanii mkongwe wa muziki wa B. Flava nchini, Juma Cassim Nature, maana naona wasanii wanazidi kutudharau na kutunyanyasa kwa sababu ya ubinafsi wao, shenzy...
4 Reactions
27 Replies
9K Views
Naibu waziri wa wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo ametoa tamko hilo hii leo kwenye hotuba yake bungeni kwamba kitendo cha msanii huyo ni kinyume na maadili ya mtanzania,kwa hiyo...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Toka mwanzoni mwa wiki hii Diamond Platnumz na crew yake wamekuwa waki-tease vitu kwa mafumbo kuashiria kuna kitu kikubwa kinakuja. Diamond-Platnumz Kupitia Instagram Diamond ameshare fomu...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
These are my all time best 5. 1. Gold Diggers: The World's Biggest Bank Robbery (TV Movie 2006) - IMDb Paulo Sergio De Souza(Not his real name).The Mastermind "Around 8.30am on Monday, 8...
1 Reactions
4 Replies
8K Views
Haina ubishi kuwa amplifaya kimekuwa kipindi bora kwa sasa...watu wengi wameonyesha kukielewa. wasiwasi wangu mimi ni juu ya mwenendo wa mtangazaj wake milard ayo(mtangazaji wa radio anayependwa...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Jamani kuna jambo huwa nijiuliza sana hivi hapa Bongo kuna wasanii ambao ni maarufu sana, lakini hawajawahi kutoa video za nyimbo? Mkuu kama unawajua tutajie hapa.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa Diamond tiketi zaidi ya elfu60 ziliuzwa uwanja ulijaa full
2 Reactions
87 Replies
8K Views
Binafsi huwa napata tabu sana kumuelewa mtu (tena anaeishi 'Africa') ambae anaubeza utamaduni wa hi-hop, in particular muziki wa hip-hop, achilia mbali graffitis ambazo ni meaningful mode to...
0 Reactions
1 Replies
989 Views
This means that Toddler Takeover gives you the opportunity to GET INVOLVED and have fun with your little one instead of just watching from the sidelines, however if you do just want to relax and...
0 Reactions
0 Replies
645 Views
Kwa bei rahisi kabisa unajipatia Tv series zilizotajwa hapo juu. kwa tsh 3000 unapata season 1 na pia kama utakuwa na nyingne ambayo utaichagua wewe unaweza kuopata kwa tsh 5000 kama haipo kwenye...
0 Reactions
2 Replies
770 Views
Back
Top Bottom