Kwa niaba ya wapiga gambe wote nawalaani live band wote kwenye jamhuri hii ya mashaka.
inakuaje wooote wa waimbaji wenu sauti zenu zinafanana 100% iwe Mtwara au Kigoma.
Mnatuibia
Mnadhani...
Habari,
Natafuta wimbo wenye maneno haya ndani yake
"Umaarufu utapita ila mapenzi yatabaki palepale cha msingi simamia..." .
Sifahamu jina la wimbo, ila sauti ya msanii ni ya TID, mwenye huu...
Achana na Yamoto Band, Twanga Pepeta nk. Habari ya mjini sasa ni MaSaMa Band. Imeanzishwa tarehe 5 November 2015. Wamiliki wa band hii ni watanzania wote. Wakati wa kuanzishwa kwake, karibia...
1.How am I suppose to live without you Michael Bolton
2.Nothing compares to you - Sineod Oconor
3.Sometimes love just aint enough Patty Smith
4.If you were with me now Kylie Minogue...
Baada ya ukimya wa muda mrefu, hatimaye leo Mfalme wa Bongo Flavor " Alikiba" ataenda kuachia wimbo wa Taifa aliyoimba na Christian Bella,
Baada ya Bella kuona anataka kuzidiwa ikabidi aimbe na...
Wakuu wa entertainment!
Moussa Diallo simfahamu, lakini kuna wimbo mmoja maarufu sana bahati mbaya nimesahau jina lake. Ni maarufu kwelikweli ila wa zamani pia! Nasikia aliyeimba wimbo huo ni...
Mwanamuziki Adele hivi karibuni ameachia kibao chake kinachoitwa hello, ni ngoma ambayo imepata waangaliaji wengi youtube kwa kipindi kifupi, kusema ukweli ni kibao kizuri kakiimba vizuri na...
Jamaa mmoja huko nchini Zimbabwe kwa babu Mugabe kashinda kwenye shindano
la kumsaka mkali mwenye sura ngumu (sura ya kiume) , na hatimaye kujishindia
kiasi cha Dollar 500 US,
Jamaa huyo...
Bwana Yesu Asifiwe!
Ile dhana kwamba usanii ni kuelimisha jamii, sasa kwa baadhi ya wasanii wetu wa muziki wa bongo fleva umepotoka na hatimaye kuiharibu jamii.
Hili linatokea pale wanapotoa...
Habari zenu? Jamani yeyote alie mpenzi wa tamthiliya hii inayooneshwa ITV na CITIZEN tupeane habari zaidi ningependa kujua anaefahamu marudio yake kwenye citizen tv maana wao huionesha saa8 mda wa...
Wanajukwaa najua kuna baadhi yetu tunapenda muziki na huenda katika nyimbo unayoipenda kuna baadhi ya maneno huwa huyapati vizuri so tutakuwa tukipeana lyrcis za nyimbo hapa.
Hili ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.