Amezaa na Dr Dre na Suge...dah

Mwenyewe hii issue nilisikia mara ya kwanza Vlad Tv kutoka kwa Michel'le mwenyewe. Iko twisted kwa namna flani, ila ukimsikiliza unaelewa kiasi fulani.

Dre alikuwa abusive sana, according to huyu bibie. Na mara nyingi, Suge ndio alikuwa karibu kumsikiliza na kumliwaza. Nadhani ingeweza kumtokea mwanamke yeyote katika hiyo situation.

Manzi huwa akitoka kwenye uhusiano uliokuwa na mifarakano mingi, mara nyingi huamia kwa yule aliyekuwa karibu nae kumsikiliza. Ndio maana wanasema, "A shoulder to cry on, often turns a D to ride" kwenye huu muktadha.
 
Mwenyewe hii issue nilisikia mara ya kwanza Vlad Tv kutoka kwa Michel'le mwenyewe. Iko twisted kwa namna flani, ila ukimsikiliza unaelewa kiasi fulani.

Dre alikuwa abusive sana, according to huyu bibie. Na mara nyingi, Suge ndio alikuwa karibu kumsikiliza na kumliwaza. Nadhani ingeweza kumtokea mwanamke yeyote katika hiyo situation.

Manzi huwa akitoka kwenye uhusiano uliokuwa na mifarakano mingi, mara nyingi huamia kwa yule aliyekuwa karibu nae kumsikiliza. Ndio maana wanasema, "A shoulder to cry on, often turns a D to ride" kwenye huu muktadha.


Inawezekana hili la Suge kuzaa na huyu lilichangia kuua Deathrow Records?

hata kina Dash na Jay Z naona Jay z ashatembea na Rachel Ray...
mara Dash na Beyonce rumors....
 
Inawezekana hili la Suge kuzaa na huyu lilichangia kuua Deathrow Records?

hata kina Dash na Jay Z naona Jay z ashatembea na Rachel Ray...
mara Dash na Beyonce rumors....

Sidhani kabisa.

By the time Michel'le anajirusha na Suge, walishaachana na Dre na jamaa alishaondoka Death Row pia. Tena nadhani Dre alioa akiwa kwenye uhusiano bado na Michel'le. Ila niliwahi kumsikia Daz akisema kitu kama hicho kuwa Michel'le ndio alichangia kufa kwa DR, na alitembea mpaka na Tupac pia.




Hata uhusiano wa Dash na Jay uliharibika, ila sio kwa kusababishwa na mamanzi, whether walichapiana ama lah.
 
Mwenyewe hii issue nilisikia mara ya kwanza Vlad Tv kutoka kwa Michel'le mwenyewe. Iko twisted kwa namna flani, ila ukimsikiliza unaelewa kiasi fulani.

Dre alikuwa abusive sana, according to huyu bibie. Na mara nyingi, Suge ndio alikuwa karibu kumsikiliza na kumliwaza. Nadhani ingeweza kumtokea mwanamke yeyote katika hiyo situation.

Manzi huwa akitoka kwenye uhusiano uliokuwa na mifarakano mingi, mara nyingi huamia kwa yule aliyekuwa karibu nae kumsikiliza. Ndio maana wanasema, "A shoulder to cry on, often turns a D to ride" kwenye huu muktadha.
Ila simpatii picha suge km anaweza kumliwaza mwanamke
 
Kama ambavyo ikitokea Nyani Ngabu akaniudhi na mliwazi akawa The Boss nitachagua bega kwa hiari......hahaha!

Heshima yako Mkuu The Boss

Unanipa idea aisee haha haaa..ngoja nikuwahi kabla ya ngabu....
 
upload_2016-10-8_14-1-20.jpeg
 
demu wa dizaini hiyo,bongo "tunamuitaga" mlupo wa wasanii.

hata huku kwetu mavumbini wapo.unakuta anagongwa na wasanii watatu wa bongofleva,at the same time anagongwa na wasanii wawili wa bongomuvi.

sanaa ya mziki na filamu ni super glue kubwa sana ya kunasia wasichana duniani.

wao huwa wanajisikia fahari tu kuonekana wana date na wasanii,mengine wala hawayazingatii.
 
Back
Top Bottom