The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,880
Nilikuwa sijui Dre na Suge wana mwanamke wamezaa nae
kila mmoja na mtoto wake
sipati picha inakuaje....unazaa na mwanamke anakuja kuzaa na adui yako
watoto sijui mnawaleaje?
watoto wa mama mmoja huku baba zao ni 'maadui' ambao waliwahi kuwa marafiki zamani..
dah...some women....
cc Nyani Ngabu Paulo Sergio De Souz
kila mmoja na mtoto wake
sipati picha inakuaje....unazaa na mwanamke anakuja kuzaa na adui yako
watoto sijui mnawaleaje?
watoto wa mama mmoja huku baba zao ni 'maadui' ambao waliwahi kuwa marafiki zamani..
dah...some women....
cc Nyani Ngabu Paulo Sergio De Souz