LAMBOFGOD
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 1,561
- 1,319
Habari wana JF
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya music fans wote. Lengo ni kukumbushana musiki wa kibongo hasa zile track zenye jumbe kuntu za kufundisha jamii katika maisha ya kila siku na changamoto zake, Unacho takiwa kufanya ni kuandika jina la mwanamziki na single iliyokubamba hasa katika kuelimisha jamii.
mfano, zari zarina by 20% percent
maisha ya bongo 20% percent
kusema kweli nyimbo za bwana huyu zinaishi na kufundisha jamii
Karibu sana
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya music fans wote. Lengo ni kukumbushana musiki wa kibongo hasa zile track zenye jumbe kuntu za kufundisha jamii katika maisha ya kila siku na changamoto zake, Unacho takiwa kufanya ni kuandika jina la mwanamziki na single iliyokubamba hasa katika kuelimisha jamii.
mfano, zari zarina by 20% percent
maisha ya bongo 20% percent
kusema kweli nyimbo za bwana huyu zinaishi na kufundisha jamii
Karibu sana