Msaada: Nataka kulileta kundi la West Life

Msaada: Nataka kulileta kundi la West Life

shaks001

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
1,246
Reaction score
1,071
Nina mahaba sana na hawa jamaa wa hili kundi la West life toka nikiwa shuleni.

Leo shauku ya moyo wangu nataka kulileta nchini kundi hili kwa gharama yoyote ile.Mwenye full details kuhusu gharama zao tafadhali tusaidiane.

Naamini itakuwa show kabambe maana naujua uwezo wao jukwaani.

Ahsanteni!
 
Back
Top Bottom