Filamu ya Kitanzania yapaa anga za kimataifa

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,502
9,282
Sekta ya filamu imeendelea kukua kila kukicha nchini Tanzania,ambapo sasa filamu zinazotengenezwa nchini humo zinavuka anga ya kimataifa na kuonyeshwa sehemu nyingine duniani.

T Junction ni miongoni mwazo, na licha ya kwamba imeigizwa na vijana chipukizi lakini maudhui yake yameweza kugusa wengi.

Chanzo: bbc
 
Back
Top Bottom