Mkuu misukosuko part 1 hivi zipo madukani?Tafta movie inaitwa MISUKOSUKO
Kitambo sidhani kwa kweli tatizo wasanii wetu hawana tamaduni ya kutunza kopi za kazi zao au kuweka kwenye mitandao Kama hiyo ya YouTube ukifatilia wasanii wenyewe Sasa walipo ndio utachoka zaidi, Kama sio mateja basi mungu aliwatendea wema.
hiyo ni noma wanapigana balaaaaTafta movie inaitwa MISUKOSUKO