cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,809
aliongea Baraka da prince wakati Ben Pal ametoa nyimbo TATU iliyokua mbovu na hata audiance haijaipokea vizuri kabisa kua ni Bora kumshauri rafiki yako msanii asitoe nyimbo kabisa kuliko kumsifia atoe nyimbo mbovu inayo mshushia heshima yake.
Tujaribu kuangalia msanii Ali Kiba ana marafiki gani na wanamsaidia kiushauri kabla ya kutoa nyimbo?
This time amedissapoint sana mfalme huyu wa Kkoo na marafiki zake wakimpa Big up kinafiki wakijua kabisa nyimbo si hadhi yake.rafiki mnafiki wa Kwanza Ommy Dimpoz
Tujaribu kuangalia msanii Ali Kiba ana marafiki gani na wanamsaidia kiushauri kabla ya kutoa nyimbo?
This time amedissapoint sana mfalme huyu wa Kkoo na marafiki zake wakimpa Big up kinafiki wakijua kabisa nyimbo si hadhi yake.rafiki mnafiki wa Kwanza Ommy Dimpoz