Tumechoka Wenger Out

Tumechoka Wenger Out

kidaganda

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
2,997
Reaction score
2,577
Hakuna kitu kinauma kama kufungwa match mfululizo Huyu jamaa kachoka atupishe...Yaani Bado kidogo tu tunapiga kama Ruvu na Simba Jana.

Chonde chonde Kwa mashabiki wote wa Arsenal5 duniani Tuseme imetosha..

Wenzatu Chelsea man city na united wao kila siku ni furaha sisi ni vilio tu..Hapana tumekuchoka Wenger.

Imetosha Sasa ...
 
Hakuna kitu kinauma kama kufungwa match mfululizo Huyu jamaa kachoka atupishe...Yaani Bado kidogo tu tunapiga kama Ruvu na Simba Jana.

Chonde chonde Kwa mashabiki wote wa Arsenal5 duniani Tuseme imetosha..

Wenzatu Chelsea man city na united wao kila siku ni furaha sisi ni vilio tu..Hapana tumekuchoka Wenger.

Imetosha Sasa ...

Hivi Sanchez alikiwa anacheka kitu gani?, anamcheka Wenger au anacheka Arsenal kufungwa?
 
Jamaa ana hisa, kuondoka mpaka aamue yeye na bahati mbaya hajafikiria bado kuondoka! Inasikitisha sana, mechi ya tatu tu tayari tuko out of the epl title contention!
 
Wenga ingebidi aje hapa akamatwe apimwe mkojo mjinga sana afungiwe kabisa hapa selo halafu na wewe mkuu ufanye kosa upelekwe gereza moja ukampige mingumi huyu alishapoteza dira..hana uwezo tena wa kuwa kocha wala hatashinda kombe lolote..
 
4ad7df6371a1a3e7506dc33256e9d964.jpg
 
Back
Top Bottom