Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,200
Hivi jamani mnaofatilia Show mbalimbali za muziki sanasana za Fiesta. Kwa nini Show za wasanii wa kibongo lazima kupigishana makelele, utasikia ooh tuimbe Wote mara sema woyoooooooooo.
Hivi na show za Ulaya ziko hivi hivi maana nikiangalia zile show za Ulaya unakuta msanii anaperform hadi Raha. Yaani unaona kabisa msanii husika yuko serious kwenye performance hakuna yoooooo wala piga keleleee kama huku bongo.
Kiukweli huwa natamani sana kuhudhuria hizo burudani lakini nikikumbuka hizo woyooooooo na piga keleleeeee basi hamu inakata nahisi kama Nitaibiwa tu hela apewe Msanii kuimba niimbe Mimi wapi na wapi.?
Kwenye show nataka nije nione performance ya Msanii husika siyo kupigishana makelele yasiyo ya lazima.
Sent Using Bongo kama Ulaya au Bongo bahati mbaya.
Hivi na show za Ulaya ziko hivi hivi maana nikiangalia zile show za Ulaya unakuta msanii anaperform hadi Raha. Yaani unaona kabisa msanii husika yuko serious kwenye performance hakuna yoooooo wala piga keleleee kama huku bongo.
Kiukweli huwa natamani sana kuhudhuria hizo burudani lakini nikikumbuka hizo woyooooooo na piga keleleeeee basi hamu inakata nahisi kama Nitaibiwa tu hela apewe Msanii kuimba niimbe Mimi wapi na wapi.?
Kwenye show nataka nije nione performance ya Msanii husika siyo kupigishana makelele yasiyo ya lazima.
Sent Using Bongo kama Ulaya au Bongo bahati mbaya.