Aslay anazidi kuonyesha kwamba anazo nyimbo za kutosha kwenye kichwa chake bila kutangaza kama wengine yeye ni vitendo tu.
Barnaba, Ruge, Rip Ndiku
Kiba kazi anayo, hapa Aslay, kule Venessa, na huku Gigy Money
umezaliwa juzi wewe, kiba anashindana na nani Tz hii? ni sawa na wewe unashindana na mama yako kubeba mimba...halafu watu waseme tuone sasa nani atazaa kitoto chenye afya!!
kiba alipambanishwa na wengi enzi hizo (unataka nitaje?) na hawapo,ni mzee mkongwe, ka inspire wengi na yeye ndio kamtoa diamond kwa wimbo wake wa kwanza kimrekodia studio yake!he is a king
Hana mpinzani na washabiki wake ni royal, hata akitoa wimbo mbaya namna gani, kuna washabiki wake watampenda tu...unajua kwa nn? wameanza nae kuanzia utotoni..kuanzia nakshi nakshi, cinderela, maria, mac muga......hizi dushelele, aje, a kipusa hazimfanyi kumsimika kwa nguvu kuwa hi king....bali anatamalaki kwa style zake, tabia zake na kipaji anacho! angalia live music coke studio uone
Ni sawa na kusema akin usher, chriss, adele, edy, beyonce wako juu zaidi ya akina whitney na michael jackson!! unachekesha
hahahah.una maana gani sheikh?Barnaba, Ruge, Rip Ndiku