Na bado.Huu ndio uzalendo kwa Clouds fm kupiga nyimbo za Lady Jay De hakika nimefurahi sana naweza ku reqest music zake na nkazipata.
Mpaka nyimbo ya Rubby wamepiga
lin wamepiga nahis dj kajichanganya
Kwelii au hongera zao wajimix tuu maana mambo sio mambo tena
Wamejishtukia hata wao ni KAA....Tena yale maKAA makubwa ya baharini!Huu ndio uzalendo kwa Clouds fm kupiga nyimbo za Lady Jay De hakika nimefurahi sana naweza ku reqest music zake na nkazipata.
Wamejishtukia hata wao ni KAA....Tena yale maKAA makubwa ya baharini!
Kwa kweliWamejishtukia hata wao ni KAA....Tena yale maKAA makubwa ya baharini!
Ndivyo, ilivyo. Ndiyo maana watalaamu wa masuala ya miradi (projects) wanakwambia, "ili utusue lazima uwe na uwezo wa kuzigeuza changamoto/matatizo kuwa fursa" mwisho wa kunuu. Uko sahihi Mkuumatatizo yanaweza kukufanya ukawa na akili sometimes