Kila mmoja wetu ana ile series yake (TV Show) ambayo ilimfanya aingie kwenye "addiction" kuifuatilia. Ile ambayo unajikuta unafuta hata ratiba zako za muhimu ili tu upate muda wa kutazama episode...
Habarini!
Kama tunavyo fahamu kuwa JF ni sehemu ambayo mamillion ya watu wanapita hapa! Ningeomba huu uzi uwe maalumu kwa ajiri ya kuwasupport wasanii wanao chipukia! Katika Muziki! Najua tupo...
1. Sarkodie from
Ghana.
2. Nyashisnki from
kenya.
3. Khaligraph jones
from Kenya.
Hapo ni wa kwanza mpaka wa mwisho.
Nimesikiliza marapper wengi, ila ni hao tu ninao...
Staa wa muziki wa Pop duniani, Dua Lipa, ameishtaki kampuni ya Samsung akidai fidia ya dola milioni 15 (takriban shilingi bilioni 40 za Kitanzania), akituhumu kampuni hiyo kutumia picha yake...
Napenda sana movies na animated series. Hizi ndio my number 1 entertainment lakini sijawahi kutumia legal app yoyote
Nilidhani subscription za Netflix ni expensive mpaka jana wakati nafuatilia...
Hakuna mwanamuziki wa kawaida tu ambaye anaishi Jijini Kinshasa au ataweza kuishi Kinshasa.
Kwa msiojua Mji wa Kinshasa ni wa gharama za juu mno na ndiyo maana ni Watu matajiri tu (Mapedeshee) na...
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI
CHANZO : BURE SERIES
SEHEMU YA KWANZA
Matangazo yalikuwa yamebandikwa kila kona ndani ya Jiji la Dar es Salaam yaliyokuwa yakihusu ujio...
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane.
Miaka ya fulani baada ya kumaliza shule ya sekondari,niliamua kwenda kumsalimia Ba'mdogo aliyekuwa mkuu wa shule fulani ya sekondari hapo kwenye hicho...
1. The Blacklist
2. Missing
3. Battle Creek
4. 24
5. Numb3rs
6. Bones
7. Quantico
8. The F.B.I
9. FBI:International
10. Profiler
11. Haven
12. City on a Hill
13. Unsub
14. Will Trent
15. Wiseguy...
1.Taylor swift- huyu anasikilizwa sana duniani na ni mmoja mwenye ma followers wengi ila hakuna hata kazi yake moja naijua wala kuisikiliza
2-Migos-hata sielewi nyimbo wanazoimba trap gani...
Kwa kweli leo baada ya kufungua redio yangu nimekutana na kipindi cha nani zaidi pale Redio One na waliopambanishwa ni Hussein Jumbe na Remy Ongala ambapo nyimbo Tano za Dr Remmy zilipigwa na...
THE MODERN WAR
(Vita ya kisasa)
Sehemu ya.........01
Mtunzi: Saul David
WhatsApp: 0756862047
UTANGULIZI
Mwanzo ilikuwa ni vita rahisi sana, vita dhidi ya ndugu yangu wa damu aliyeenda kinyume na...
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA
MTUNZI:SINGANOJR .
AGE:18+
NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA
PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346
PROLOGUE../DIBAJI...
Ndugu zangu habari za kuwapotea? Naam ni mimi Euphoria mwandishi wa Solo king, mniwie radhi kwa kupotea na kuwa kimya kwa muda mrefu zaidi, kipindi kile nilikuwa nikiumwa, nilikuwa nalala kitanani...
Enzi za uhai wake Mzee wetu Kasongo Mpinda Clayton, wakati anaitumikia band ya Marquis du Zaire tarehe 18/6/1982 alitunga wimbo unaoitwa "Angelou".
Na haya ni sehemu tu ya mashairi yake:-...
WACHUJA NAFAKA Tusisubiri Wapotee wote.....ndiyo tuseme waliwahi kutoa Moja ya Albamu kali, Narudia Tena Albam kali kuwahi kutokea Tanzania.
Fatilia Uzi Huu utajua kwanini nakuambia Ilikuwa moja...
Miaka Ile wimbo wao ulibamba sana😊😊
Alicom na Celina_wapambe
Katika pita pita nimesikia uki pigwa
Enzi izo ulikua moto Africa mashariki na kati🌍🌍
Jamaa sijui yupo wap Kwa Sasa...
"Wapambe tusi...
Huu uzi utakua maalum kwaajili ya kutupia nyimbo kali za gospel mwaka 2026.
https://audiomack.com/voiceofpraise603/song/mungu-ni-pendo-remix?share-user-id=216220807