Habari zenu wanajf?
Naomba leo tushee nyimbo zetu pendwa tunazozisikiliza kwenye playlists zetu when we feel giving up. (Kukata tamaa)
Binafsi, "Lengend" by Chronixx ndo nyimbo ambayo napenda...
Kwa siku za hivi karibuni nimewasikia mara kadhaa wasanii wa zamani wakijibu swali hili. Wengi wao husema walikuwa wanatumia akili nyingi sana kwenye utunzi wa nyimbo zao, ndiyo maana mpaka leo...
Wengi wetu humu ni millenials na katika ikuaji wetu hasa sie tulipotoka middle class families tumekuwa na tukiangalia hizi drama kama isidingo na the promise
Hizi ndo drama ambazo nilikuwa...
Kama fan mkubwa sana wa movies, sometimes inabidi kuangalia genre nyingine out of my favorite genres
Napenda action na horror ila sometimes naangalia genre nyingine na ninaenjoy just fine
Kuna...
TZ MP3 MEDIA Download na kusikiliza nyimbo mpya za Bongoflava Audio pamoja na video zake ambazo zinaendelea kutoka kwa wasanii wakongwe na wapya pia hapa TZ MP3 MEDIA ndio mtandao unaokuletea...
🍖🍺 MEN, COME CLOSER... YOUR BELOVED NYAMA CHOMA AND "KA COLD ONE" MIGHT BE PLOTTING AGAINST YOUR TOES!
Picture this...
It's a Wednesday morning . The boys have gathered. Smoke is rising from the...
Vita vya Leo Ushindi wa Kesho ni wimbo wa kutia moyo unaobeba ujumbe wenye nguvu kutoka Waamuzi 3:1–2. Katika kifungu hiki, Mungu aliwaacha baadhi ya mataifa ili kuwafundisha Waisraeli namna ya...
Waandaaji wa sherehe kubwa ya Wakunyumba Traditional Party, MS Production chini ya mkurugenzi Lucy Francis Komba, wamesema bado wanahitaji wadhamini kutoka pande zote za nchi.
Akizungumza jijini...
Wakuu, kuna wasanii wa nyimbo mbalimbali humu, wapo wa taarabu, kaswida, kwaya,bongo fleva, kuna wa hiphop kuna wasanii wa asili wa makabila mbalimbali kama wasukuma nk, hebu wewe msanii,shusha...
Marvel Universe wameachia trela ya Doomsday baada ya teasers kibao. Aisee sio Poa. Full kikosi. Spoiler Alert: Captain America is baaaaaaaaaack!
https://www.youtube.com/watch?v=irVNGjRFZGk
Wajibu mkuu wa Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kwa wasanii ni kusimamia, kulinda, na kutetea haki miliki zao za kazi za ubunifu. Majukumu haya yanajumuisha ukusanyaji na ugawaji wa...
Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.
Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake...