Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

  • Redirect
Yeah.. Wakuu kama headingi inavyojieleza Kwa ushabiki nilionao kutoka kwa King kiba nimeamua nianzishe huu Uzi Ambao mashabiki wote wa king Tutakuwa tunakutana uku Kupeanda information mbali...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Yaan ukipita huko Istagram, Jamii forum, twiter wanaojiita mashabiki wa Alikiba wao ni kutukana matusi tu, wimbo umetoka mpya wao kabla hajacomment kitu anaanza na tusi! daah Mziki haupo hivyo...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
MIMI NAMPA 20/100 SIJUI WENZANGU MNAMPA NGAPI
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kiukweli kwa alichotuonyesha kiba leo katika video yake mpya ya Seduce me ni majanga matupu 1.Video mbovu 2.Rangi kwenye video hazieleweki yani hovyo hovyo 3.yupo rafu tu mchafu mchafu hadi...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mshikaji anasifika kwa kutoa ngoma zinazoishi na sifa kibao lakini apa amuna kwa kweli, yaani kaka umepuyanga kinoma ngoma mbovuuuuu sijawai ona, utafikiri kaimba underground. Sent using Jamii...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kati ya hizi ngoma ipi kali ya kwanza ya pili au ya tatu. Ali Kiba ana jina kubwa sana na kiki ya bifu pia anayo. Asley wala Beka hawana kiki ya kulelewa na wamama au hata ya bifu. Seduce Me...
0 Reactions
Replies
Views
Alianza mziki na Hiphop Diamond platnumz alisikika zaidi na track yake ya Jisachi ambayo ilikua nzuri tu,ila ktk harakati za kutafuta pessa zaidi akaishia kubana pua. Platnumz kwenye hii remix ya...
0 Reactions
8 Replies
747 Views
Mkali wa hip hop kutoka Kenya na Afrika Mashariki ameshusha ngoma mpya ambayo imethibitisha kua huyu jamaa ni mkali na hana mpinzani kwa sasa
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Since first hit yake hadi sasa bill nass amekua akitoa nyimbo ambazo ukiwa umechoka na mawazo ukizisikiliza tu basi unajisikia fresh ghafla hii track yake ya sina jambo ni kali sana kama track...
0 Reactions
7 Replies
767 Views
Mambo zenu wakubwa na wadogo. Naomba mwenye kufahamu nitaipataje link ya kuidownload hii series anipatie tafadhari. Nilikuwa najaribu kuipata kupitia youtube inagoma. Nataka kudownload Season 2...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau nauliza kuhusu receiver za dishi kubwa unaweza kutumia kwenye uelekeo wa dish ndogo za Azam na nyinginezo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
yes hebu tukutane hapa kupeana zile nyimbo kali za country baadhi ni kama lady antebellum-need you now Sam hunt-take your time Keith urban-blue ain't your colour bila kusahau collections za...
0 Reactions
2 Replies
619 Views
Elias Banyenza ndio jina alilopewa na wazazi wake, lakini unafahamika na wengi kwa jina la Banye. Anapenda kuimba na RnB ndio muziki ana unaoupenda zaidi. Banye alianza kuimba akiwa Sunday...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
On my personal view B.I.G alikuwa mkali sana kwenye flows and lyrically kuanzia punchlines, similies, metaphors, multis etc, Ukisikiliza nyimbo yake kama ya big poppa utajua nchomaanisha, But...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Kutokana na ugeni wangu katika tahasusi ya kupakua nyimbo naomba mnisaidie njia rahisi ya kupata album(diwani) ya Jay Z inayoitwa 4:44...... Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Ukisoma vizur historia za makocha wa epl haswa wale wakubwa wote 1. Mourinho ana mke wake mzur na watoto wake wa3 wale na juz juz tu kapata mjukuu 2. Benitez ana mke wake na amedumu nae kwa zaid...
1 Reactions
5 Replies
864 Views
Kwa wanaopenda movie za ubabiloni wataungana na mimi katika hili, hakuna kama Texas Chain saw. Wewe unaikubali ipi?
4 Reactions
31 Replies
4K Views
Rasta anasema: "I went to a party the other night, They said it's gonna be right there. But when we were at the party I was dis appointed. All we could hear was their crackadoo, All...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…