Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,615
- 2,031
Habari wana jf,hii ni thread maalumu kwa ajili ya wapenzi wote na wafatiliaji wa tamthilia pendwa inayooneshwa na Azam Tv katika channel yake ya Azam 2 kila saa 3 na nusu usiku juma tatu hadi ijumaa. Kama wewe unaifuatilia basi huu uzi utakuwa unakuhusu maana tupo hapa kwa ajili ya kujuzana vitu tofauti tofauti vya kwenye tamthilia hiyo sio siri namkubali sana Roshni na Siddat Kukraje sijuwi wewe mwenzangu unamuelewa nani kwenye tamthilia hiyo