Naombeni mnisaidie kupata huu wimbo

Naombeni mnisaidie kupata huu wimbo

ESPIRIT

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
665
Reaction score
524
Bantu group (Hamza kalala)_Ngozi ya kitimoto
Asante
 
Tangu lini ngozi ya kitimotooo ikawambwa ngomaa......
Kama si miujiza ni niniiiii!!!!!?????
 
Omba dogo yoyote anayejua computer vizuri akusaidie. Kama unatumia computer ni rahisi sana kuna kisehemu pale juu chenye alama ya kudownload.
Shukrani sana kaka,nimeushusha...nilikuwa nausikilizia kwenye simu ila kwenye PC unashuka kirahisi.
 
Mwenye ule mtiririko wa nyimbo za Hamza Kalala ..Baba Jeni moja hadi tatu nadhani..aweke hapa atakuwa amefanya jambo la maana sana.
 
Mwenye ule mtiririko wa nyimbo za Hamza Kalala ..Baba Jeni moja hadi tatu nadhani..aweke hapa atakuwa amefanya jambo la maana sana.
Duuh!! Kumbe Baba Jenny zipo tatu!! Halafu mule nasikia Kuna vijana wadogo waliimba ambao ni Ali Choki na Mwinjuma Muumini tunaowafahamu hivi sasa., Kuna jamaa mkongwe ameniambia hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom