Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa wale wapenzi wa WWE kupitia channel pendwa ya etv kuanzia Sept 1 hakutakua na vile vipindi vya mieleka kupitia channel yao ya e kutoka sauz. Hii ni kutokana na mkataba kati ya kituo na...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Manung'ayembe
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kati ya hawa watu, nani zaidi? 1. Kasimu Mponda 2. Abel Bartazar 3. Said Mabera 4. Bartholomeyo Mulenga... Na je huyo unayemkubali wewe ni kazi yake ipi ilipelekea umvulie kofia? cc...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna jambo silielewi kuhusu series ya Sultan Suleiman Khan inayorushwa na Channel ya Azam Two. Mke wa Sultan aitwaye Hurem anafanya hila na maovu mengi lakini ndio kwanza anafanikiwa mpaka kuwa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Audio: Sister fey Ft. Holystar – Wasinichapie - SYLI CLASSIC MUSIC
0 Reactions
0 Replies
1K Views
==> Eti ni neno gani huwa unalitamka mara nyingi zaidi kwa siku? Tunaanza na Mimi YANI
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ukiangalia hio video hapo juu,, mstari to mstari utaona kama kipindi hiki alikua ana ugomvi na kundi flan === Could You Be Loved Bob Marley and the Wailers Could you be loved and be loved? Could...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Audio: Joel Lwaga Ft. Chris Shalom – Umejua Kunifurahisha - SYLI CLASSIC MUSIC
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwenye uzi huu tupeane upadates ya seasson moves ambayo zimegonga nyoyo za watu 2017 na 2018 mimi nikianza na.. Loard of the Rings Spartacus Game of thrones Walking deads ...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Pole kwa wapenzi wenzangu wa soka na timu ya taifa.. Binafsi Naamini kingeundwa kikosi cha pili kikihusisha waliosugulishwa benchi mfano Yondani,Faisal,Zayid na ambao kwa sababu tusizozijua...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimemsikiliza Mo Dewji akiwa kwenye kipindi cha Mkasi ni Kijana mmoja mwenye kujiamini na anajiamini anatia moyo vijana wasikate tamaa. Nimemuelewa sana. MUNGU Ampe wepesi pale alipo wasi mdhuru...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MAPACHA WANAOFANANA Kutana na mapacha Rukia na Rukaiya ambao tabia zao zinafanana, maumbo na sura kiasi kwamba mmoja kati yao anachumbiwa na kupata ugonjwa ghafla hivyo anakaa kwa muda mrefu kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tujikumbushe kidogo zile harakati za PIMBI na madem ambazo hajawahi kufanikiwa hata siku moja Siku moja kachukua wanawake wawili (mijimama) akaenda kawapiga pombe vibaya sana na yeye piga pombe...
6 Reactions
4 Replies
3K Views
ipi club kali kwa bongo kati ya izi 3? -Club nextdoor, -london lounge na maisha basement? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
68 Replies
18K Views
Kwema wadau? Tuweke mambo mengine kando embu tuiangalie kama Tha carter V itamrudisha huyu jamaa level zile tena maana vijana wamekuwa moto sana Japo namatumaini na ichi kichwa maana kuna track...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
PENZI LA SHEMEJI sehem ya 1 " Naomba umsindikize shemeji yako tafadhali Jun" alinambia kaka " Haina tatizo kaka" nikamjibu kaka Niliingia chumbani na kuwaza sana namna nitakavyofanya ili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Karibuni tujadili kwa pamoja wimbo mpya toka kwa Mwana hiphop nguli Tanzania, na mwandishi wa visa vingi kwa utunzi makini. Video content link:
1 Reactions
5 Replies
6K Views
habari za jioni wana JF, Naombeni msaada kwa anayejua torrents au sites ambazo zina African series and movies.
2 Reactions
1 Replies
884 Views
Ni moja ya show zilizokuwa zinabamba kweli Afrika Mashariki, imekumbwa na nini mbona haisikiki tena?
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari wakuu! Kwanza napenda Ku declare interest kwamba Mimi ni mlevi wa mziki mzuri wa bongo fleva na soka la ulaya tu. Wafuatao ni maproducer wangu watano bora ambao haipiti siku sijasikia...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Back
Top Bottom