Kwa wale wapenzi wa WWE kupitia channel pendwa ya etv kuanzia Sept 1 hakutakua na vile vipindi vya mieleka kupitia channel yao ya e kutoka sauz. Hii ni kutokana na mkataba kati ya kituo na...
Kati ya hawa watu, nani zaidi?
1. Kasimu Mponda
2. Abel Bartazar
3. Said Mabera
4. Bartholomeyo Mulenga...
Na je huyo unayemkubali wewe ni kazi yake ipi ilipelekea umvulie kofia?
cc...
Kuna jambo silielewi kuhusu series ya Sultan Suleiman Khan inayorushwa na Channel ya Azam Two.
Mke wa Sultan aitwaye Hurem anafanya hila na maovu mengi lakini ndio kwanza anafanikiwa mpaka kuwa...
Ukiangalia hio video hapo juu,, mstari to mstari utaona kama kipindi hiki alikua ana ugomvi na kundi flan
===
Could You Be Loved
Bob Marley and the Wailers
Could you be loved and be loved?
Could...
Kwenye uzi huu tupeane upadates ya seasson moves ambayo zimegonga nyoyo za watu 2017 na 2018 mimi nikianza na..
Loard of the Rings
Spartacus
Game of thrones
Walking deads
...
Pole kwa wapenzi wenzangu wa soka na timu ya taifa..
Binafsi Naamini kingeundwa kikosi cha pili kikihusisha waliosugulishwa benchi mfano Yondani,Faisal,Zayid na ambao kwa sababu tusizozijua...
Nimemsikiliza Mo Dewji akiwa kwenye kipindi cha Mkasi ni Kijana mmoja mwenye kujiamini na anajiamini anatia moyo vijana wasikate tamaa. Nimemuelewa sana. MUNGU Ampe wepesi pale alipo wasi mdhuru...
MAPACHA WANAOFANANA
Kutana na mapacha Rukia na Rukaiya ambao tabia zao zinafanana, maumbo na sura kiasi kwamba mmoja kati yao anachumbiwa na kupata ugonjwa ghafla hivyo anakaa kwa muda mrefu kwa...
Tujikumbushe kidogo zile harakati za PIMBI na madem ambazo hajawahi kufanikiwa hata siku moja
Siku moja kachukua wanawake wawili (mijimama) akaenda kawapiga pombe vibaya sana na yeye piga pombe...
Kwema wadau?
Tuweke mambo mengine kando embu tuiangalie kama Tha carter V itamrudisha huyu jamaa level zile tena maana vijana wamekuwa moto sana
Japo namatumaini na ichi kichwa maana kuna track...
PENZI LA SHEMEJI
sehem ya 1
" Naomba umsindikize shemeji yako tafadhali Jun"
alinambia kaka
" Haina tatizo kaka" nikamjibu kaka
Niliingia chumbani na kuwaza sana namna nitakavyofanya
ili...
Habari wakuu!
Kwanza napenda Ku declare interest kwamba Mimi ni mlevi wa mziki mzuri wa bongo fleva na soka la ulaya tu.
Wafuatao ni maproducer wangu watano bora ambao haipiti siku sijasikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.