Huu wimbo ameutoa siku kama sita zilizopita , full kumsifia mwanaume anayemkuna sawa sawa..
Wangapi wamemwelewa huyu kwenye hii staili mpya anayoimba
Wimbo Huo Huu Hapa:
Kuna wimbo mmoja wa Diamond Sound unaitwa nadhani Valentine. Nimeutafuta sana sijaupata wadau, mwenye link please anaweza kushare hapa. Nakumbuka baadhi ya lyrics kama:” Jumamosii eeeeeeh...
Hellow habari zenu
Nimeanza kujifunza kutengeneza beat miezi kama mitatu iliyopita nimetengeneza beat kadhaa zikiwemo hizi ebu nipeni ushauri wenu kitu gani kinamiss kufanya beat ikawa poa zaidi...
Habari wandugu.
kuna tamthilia flani ya kichina inarushwa tbc imetafsiriwa kwa kiswahili....please naomba alie na hii series tuwasiliane...niko tayari kuchangia gharama kidogo..akipenda.
Wapenzi wa muziki nadhani mnamkumbuka kijana wetu mwimbaji Wazir Sonyo .Ninaomba kujua yuko wapi na je anaendeleza kipaji chake cha uimbaji au ndio kapotea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku Zote Mtu Anayefanya Mazoezi Katika Fani Yoyote Huishia Kuwa Bora Zaidi!. Sio siri hili kabila katka kuimba wanaimba, na wanafanya matamasha ambayo ni local, lakini kama mtu uko kwenye...
Naomba Niulize hili jambo la kuomba Saini kwa watu maarufu kama wasanii au wachezaji na watu wengine hua ni kwa maana gani au lengo gani naomba nijulishwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka yetu sisi tunasikiliza music pure, genuine not contaminated. Huwa nakumbuka mbali sana kiasi natamani nisikie na wenzangu kama walikuwa na zama kama hizi. Siku zote najiuliza. Wakati...
Kiufupi inahusu mwalimu wa chemistry alie na familia ya mke na watoto wawili gafla anagundulika ana kansa,,anajua amebakiwa na maisha mafupi, sasa anatafuta njia ya kuifanya familia yake ibaki na...
UTANGULIZI
Kila mafanikio yaonekanayo kwa kwa mtu kuna nyakati ngumu mtu huyo alizopitia mpaka kufikia hapo.
Katika nyakati hizo ngumu mtu anazopitia ili kufikia mafanikio yake, kuna changamoto...
Huwa nausikia sana ila nashindwa kuju ni wa nani nidownload.Ukiusikiliza huwezi sikia hata neno moja ,na utadhani ni beat tu ila background ni wtoto wanapiga kelele
Wazoefu walionielewa nautafuta...
Jirani msamaria mwema alipiga simu namba 116 Kituo cha Huduma ya Simu kwa Mtoto baada ya kushuhudia tendo la ulawiti katika kituo cha kulelea watoto kilichopo jirani na makazi yake. Aliendelea...
Imenibidi nikumbuke filamu hii ya FIMBO YA MNYONGE maarufu YOMBA YOMBA hasa nikiangalia sinema zetu hizi sasa za wanaojiita 'mastaa' wa bongo movie. ni sinema ya siku nyigi lakini ilikuwa maarufu...
Bongofleva kwa sasa imesheheni wasanii wengi na wakali, kila siku zinatoka nyimbo nzuri na kali zenye ujazo wa haja. Nyingi ya hizo nyimbo huwa na verse kuanzia 2 na kuendelea na huwa hazizidi 4...
SEHEMU YA 1.
Ndege kubwa toka shirika la ndege duniani Qutar ilionekana ikitafuta uelekeo mzuri wa kutua ndani ya uwanja wa kimataifa wa Hamid karzai international airport ndani ya mji wa kabul...
kwa wale wapenzi wa michano mnakumbuka mtambo? jos mtambo toka kigambo- nino? jamaa alikuwa anachana toka kitambo na wimbo wake wa kidhaa dhaa... mbona alikuwa anachana fesh sana? nini tatizo...