Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Huu wimbo ameutoa siku kama sita zilizopita , full kumsifia mwanaume anayemkuna sawa sawa.. Wangapi wamemwelewa huyu kwenye hii staili mpya anayoimba Wimbo Huo Huu Hapa:
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Kuna wimbo mmoja wa Diamond Sound unaitwa nadhani Valentine. Nimeutafuta sana sijaupata wadau, mwenye link please anaweza kushare hapa. Nakumbuka baadhi ya lyrics kama:” Jumamosii eeeeeeh...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Hellow habari zenu Nimeanza kujifunza kutengeneza beat miezi kama mitatu iliyopita nimetengeneza beat kadhaa zikiwemo hizi ebu nipeni ushauri wenu kitu gani kinamiss kufanya beat ikawa poa zaidi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wandugu. kuna tamthilia flani ya kichina inarushwa tbc imetafsiriwa kwa kiswahili....please naomba alie na hii series tuwasiliane...niko tayari kuchangia gharama kidogo..akipenda.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wapenzi wa muziki nadhani mnamkumbuka kijana wetu mwimbaji Wazir Sonyo .Ninaomba kujua yuko wapi na je anaendeleza kipaji chake cha uimbaji au ndio kapotea? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Siku Zote Mtu Anayefanya Mazoezi Katika Fani Yoyote Huishia Kuwa Bora Zaidi!. Sio siri hili kabila katka kuimba wanaimba, na wanafanya matamasha ambayo ni local, lakini kama mtu uko kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba Niulize hili jambo la kuomba Saini kwa watu maarufu kama wasanii au wachezaji na watu wengine hua ni kwa maana gani au lengo gani naomba nijulishwe. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
985 Views
Miaka yetu sisi tunasikiliza music pure, genuine not contaminated. Huwa nakumbuka mbali sana kiasi natamani nisikie na wenzangu kama walikuwa na zama kama hizi. Siku zote najiuliza. Wakati...
5 Reactions
30 Replies
5K Views
Kiufupi inahusu mwalimu wa chemistry alie na familia ya mke na watoto wawili gafla anagundulika ana kansa,,anajua amebakiwa na maisha mafupi, sasa anatafuta njia ya kuifanya familia yake ibaki na...
14 Reactions
85 Replies
11K Views
xpau.se wamebadili domain yao.Mwenye mpya naomba Anisaidie.wapenda movie wenzangu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
768 Views
UTANGULIZI Kila mafanikio yaonekanayo kwa kwa mtu kuna nyakati ngumu mtu huyo alizopitia mpaka kufikia hapo. Katika nyakati hizo ngumu mtu anazopitia ili kufikia mafanikio yake, kuna changamoto...
2 Reactions
62 Replies
11K Views
Huwa nausikia sana ila nashindwa kuju ni wa nani nidownload.Ukiusikiliza huwezi sikia hata neno moja ,na utadhani ni beat tu ila background ni wtoto wanapiga kelele Wazoefu walionielewa nautafuta...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Jamani, nini faida ya onyesho hili kwa taifa letu la leo, utamaduni wetu na vizazi vijavyo?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jirani msamaria mwema alipiga simu namba 116 Kituo cha Huduma ya Simu kwa Mtoto baada ya kushuhudia tendo la ulawiti katika kituo cha kulelea watoto kilichopo jirani na makazi yake. Aliendelea...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari,nahitaji kufahamu taratibu za kufungua kituo cha michezo kwaajili ya mafunzo ya kung-fu kwa watoto,msaada!! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imenibidi nikumbuke filamu hii ya FIMBO YA MNYONGE maarufu YOMBA YOMBA hasa nikiangalia sinema zetu hizi sasa za wanaojiita 'mastaa' wa bongo movie. ni sinema ya siku nyigi lakini ilikuwa maarufu...
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Bongofleva kwa sasa imesheheni wasanii wengi na wakali, kila siku zinatoka nyimbo nzuri na kali zenye ujazo wa haja. Nyingi ya hizo nyimbo huwa na verse kuanzia 2 na kuendelea na huwa hazizidi 4...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
SEHEMU YA 1. Ndege kubwa toka shirika la ndege duniani Qutar ilionekana ikitafuta uelekeo mzuri wa kutua ndani ya uwanja wa kimataifa wa Hamid karzai international airport ndani ya mji wa kabul...
7 Reactions
94 Replies
13K Views
kwa wale wapenzi wa michano mnakumbuka mtambo? jos mtambo toka kigambo- nino? jamaa alikuwa anachana toka kitambo na wimbo wake wa kidhaa dhaa... mbona alikuwa anachana fesh sana? nini tatizo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…