Yuko wapi mwimbaji Waziri Sonyo?

Yuko wapi mwimbaji Waziri Sonyo?

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
4,445
Reaction score
4,714
Wapenzi wa muziki nadhani mnamkumbuka kijana wetu mwimbaji Wazir Sonyo .Ninaomba kujua yuko wapi na je anaendeleza kipaji chake cha uimbaji au ndio kapotea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapenzi wa muziki nadhani mnamkumbuka kijana wetu mwimbaji Wazir Sonyo .Ninaomba kujua yuko wapi na je anaendeleza kipaji chake cha uimbaji au ndio kapotea?

Sent using Jamii Forums mobile app
MARA YA MWISHO NIMEMWONA MWAKA 2017 MWEZI WA NANE ANAZUNGUKA KWENYE MABAA KULE MTWARA MJINI AKIWAIMBIA WATU WAKIWA WANAPATA KILEVI BAADA YA KUWAPIGIA NYIMBO KAMA MBILI TATU BASI ANAPITA KWENYE KILA MEZA ATAKAYEJISIKIA KUMTUZA ANAMTUZA 500 au 1,000 au 1,0000 n.k .KIUFUPI JAMAA KACHAKAA BALAA
 
Mara ya mwisho nimemwona anapiga mziki bar ya ngonyani pale chuo cha mipango Dodoma,akimaliza ka wimbo anazungukia meza km kawa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom